babilas25
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 483
- 359
Heshima kwenu wana JF,
Kwa heshima kubwa tunawakaribisha na kuwaarika wadau wa samaki kua tunapokea order na kutuma samaki wabichi waliogandishwa kutoka Mwanza aina ya Sato na sangara.
Bei zetu; Sato 8000/kg
; Sangara 4800/kg
Tunatuma mikoa yote kwa ratiba ifuatayo
Dodoma, Morogoro na Dar siku za j,nne, alhamisi na jmosi
Dodoma, Iringa na Mbeya siku za Ijumaa
Dodoma, Manyara na Arusha siku ya Jpli
Shinyanga na Kahama kila siku
Tunawakarisha wenye mabucha ya samaki kuweka order zao mapema usarama wa mzigo wako ni uhakika weka order kuanzia kilo 100 na kuendelea
Wasiliana nasi kwa namba 0764 123459 au 0783686643 email babilasfikiri@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa heshima kubwa tunawakaribisha na kuwaarika wadau wa samaki kua tunapokea order na kutuma samaki wabichi waliogandishwa kutoka Mwanza aina ya Sato na sangara.
Bei zetu; Sato 8000/kg
; Sangara 4800/kg
Tunatuma mikoa yote kwa ratiba ifuatayo
Dodoma, Morogoro na Dar siku za j,nne, alhamisi na jmosi
Dodoma, Iringa na Mbeya siku za Ijumaa
Dodoma, Manyara na Arusha siku ya Jpli
Shinyanga na Kahama kila siku
Tunawakarisha wenye mabucha ya samaki kuweka order zao mapema usarama wa mzigo wako ni uhakika weka order kuanzia kilo 100 na kuendelea
Wasiliana nasi kwa namba 0764 123459 au 0783686643 email babilasfikiri@gmail.com
Sent using Jamii Forums mobile app