Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Serikali imetangaza kuwa samaki waliokamatwa wakivuliwa eneo la Tanzania mwezi machi mwaka huu, kuwa itawagawa bure,
Waziri wa uvuvi Mh Maghufuri ametangaza hayo sasa hivi huko Dodoma, kuwa tani 290 zote zitagawiwa bure mashuleni, vyuoni vituo vya mayatima na makambini tu
Sijui hii ni huruma kwa wananchi au ni sehemu ya kampeini ya 2010?
Waziri wa uvuvi Mh Maghufuri ametangaza hayo sasa hivi huko Dodoma, kuwa tani 290 zote zitagawiwa bure mashuleni, vyuoni vituo vya mayatima na makambini tu
Sijui hii ni huruma kwa wananchi au ni sehemu ya kampeini ya 2010?