Samaki wawili shilingi 15 elfu .
Wana ukubwa gani, uzito gani?
Ni wa uzito wa kg 1 wakiwa wabichi. Dar samaki sato kilo 10000. Hawa wanakua wamekaangwa tena fresh kabisa kutoka ziwani na usafiri juu yangu. KaribuSamaki wawili shilingi 15 elfu .
Wana ukubwa gani, uzito gani?
Karibu sanaWanatamanisha....
Tupo Musoma,Mwanza na Dar. Malipo unafanya baada ya kupokea mzigo kutegemeana na uhakika wa oda yako. Karibu sanaMzee upo wapi ..? Na vip malipo yanafanyika baada ya mzigo kufika au vip
Amen...asante sana. KaribuHongera kwa ubunifu wa biashara hii
Mwenyezi Mungu akutimizie matamanio yako
Karibu. Nakufuata PMMimi nahitaji
Agiza wengi wengi, ntaijia wawiliMimi nahitaji
Sawa usijaliAgiza wengi wengi, ntaijia wawili