Samaki wa Kitoga wanapatikana

Samaki wa Kitoga wanapatikana

RUSSESABAGINA

Senior Member
Joined
Dec 23, 2016
Posts
167
Reaction score
239
Habari za muda huu wana JF,

Samaki wakavu wanapatikana, ni wa maji baridi, aina ya Kitoga kutoka Ifakara. Wamekaushwa kwa moto.

Wapo wa ukubwa tofauti tofauti, Bei ni kuanzia 3000, 4000, 5000 hadi 15,000 samaki mkubwa kabisa.

Ofisi yetu inapatikana Mwanayamala Magengeni. Au piga simu: 0719 -551-375

Karibuni sana.

IMG_20191216_201914_034.jpeg
IMG_20191216_201650.jpeg
IMG_20191216_200852_527.jpeg
IMG_20191216_195711.jpeg
20191216_192214.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah, nikila samaki aina yoyote ni kutapika mwanzo mwisho, mara mwisho kula ilikua nna miaka 6
mnafaidi kweli yaani
 
Habari za muda huu wana JF,

Samaki wakavu wanapatikana, ni wa maji baridi, aina ya Kitoga kutoka Ifakara. Wamekaushwa kwa moto.

Wapo wa ukubwa tofauti tofauti, Bei ni kuanzia 3000, 4000, 5000 hadi 15,000 samaki mkubwa kabisa.

Ofisi yetu inapatikana Mwanayamala Magengeni. Au piga simu: 0719 -551-375

Karibuni sana.

View attachment 1294366View attachment 1294367View attachment 1294368View attachment 1294369View attachment 1294370

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Arusha nitawapataje?
 
Back
Top Bottom