Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Na kama atakubaliana na invitation yangu nitafurahi sana...., na huenda nikampatia na extra tip.....! Hahahaha....!
muendelee kutupa dataz...maana sasa imekuwa tamthilia!
alafu hao wazungu wanakuja na fantasies zao kibao ehhe?
nawaonea huruma wadada zetu wanavyotendwa kisa umaskini.