Sam Mahela umekuwaje leo?

Sam Mahela umekuwaje leo?

Dk Shein niliemuona kwenye taarifa ya habari kama amepungua(amekonda) vile,au ni macho yangu ndo yanaona vibaya?
 
hahahahahaaaha nimetoka kusema huyu kazoea kuripoti tyu lol! ila mdogomdogo hauna aliyezaliwa anajua ehee
 
huyu jamaa anajipodoa mwangalieni mikono na kichwa rangi hazifanani
 
ovyo sana, anababaika kama bundi mchana

Ni Kweli Hata Mimi Nimeliona Hilo Tatizo Na Siyo Leo Bali Amekuwa Nalo Mara Kwa Mara. Tatizo Linalomsumbua Sana Sam Mahela Kitaalam Linaitwa Studio Camera Fever Na Linatibika Tu Kwa KUJIAMINI Na KUTOJISHTUKIA. Wanapokufunzwa Huko Vyuoni Hao Vijana Huwa Wanaambiwa Kuwa Wakiwa Either Redioni Or Runingani Wakitangaza Kwamba Wawe Wanawaza Tu Kama Vile Wanamtangazia Mtu Mmoja Na Hapo Huko KUJISHTUKIA au AIBU Hutoweka. Ila Tambueni Pia Kuwa Level Ya Confidence / Self Esteem Hutofautiana Kwa Binadamu Mmoja Na Mwingine Kwani Psychologically Kuna MIJITU Mingine MISHIPA Yao Ya AIBU Ilishakatwa Tokea Wakiwa Tumboni Mwa Mama Zao Na Kuna Wengine Wana Natural Confidence Ila Wengine Ndiyo Hivyo Tena Type Za Akina Sam Mahela. Kwa Mfano Mwangalieni Mtangazaji Kijana Na Mdogo Kabisa Wa ITV Ambaye Husoma News Bulletin Aitwae Benjamin Mzinga Alivyo Na Confidence Ya AJABU Na NZURI Lakini Mtizameni NGONGOTI Na NJEMBA Sam Mahela Linavyojiharahara Na Kutetemeka Hovyo.
 
Kachapia inatokea hata mwalimu darasani huwa anachapia.
Mazoea yana tabu ila aki endelea ataweza. Kumbe watu wengi wanatazama taarifa ya habari ya ITV basi ntapeleka tangazo langu moja kule la Kasie na crush zake hope mtalipenda.
 
hakika amekuwa kituko.mkono pepsi sura fanta

Huku Salon Yake Kubwa Ikiwa Hiyo Ya Hapo Nyuma Ya Kituo Cha Mwenge Cha Mabasi Yaendayo Tegeta, Kawe, Bunju, Kunduchi Na Bagamoyo Iitwayo CHOGAM. Nadhani Hata Baadae Lazima Tu Ataenda Hapo Kujitengeneza Na Anapenda Mno Scrubbing Na Kuweka Nywele Zake Dawa. Ila Ninachompendea Huyu Mdogo Wangu Na Poti Pia Ni Kwamba Popote Awapo Huwa Hajui Kuringa au Kumdharau Mtu Kama Mtangazaji Mmoja Hivi Wa KIUME POPOMA Wa Mawingu Tv Kipindi Cha 90 Degrees Zidisha Mara 4 Kisha Total Yake Ndiyo Kipindi Chake Ambaye Hupenda Sana Kuwa Na MAJIPU ( Kuringa ).
 
Dk Shein niliemuona kwenye taarifa ya habari kama amepungua(amekonda) vile,au ni macho yangu ndo yanaona vibaya?
Hata mie nimeona kupungua sana nahisi anafunga na kusali kuhusu Zanzibar. Atakuwa hana raha masikini namuonea huruma kuti limemkaukia.
 
Ni Kweli Hata Mimi Nimeliona Hilo Tatizo Na Siyo Leo Bali Amekuwa Nalo Mara Kwa Mara. Tatizo Linalomsumbua Sana Sam Mahela Kitaalam Linaitwa Studio Camera Fever Na Linatibika Tu Kwa KUJIAMINI Na KUTOJISHTUKIA. Wanapokufunzwa Huko Vyuoni Hao Vijana Huwa Wanaambiwa Kuwa Wakiwa Either Redioni Or Runingani Wakitangaza Kwamba Wawe Wanawaza Tu Kama Vile Wanamtangazia Mtu Mmoja Na Hapo Huko KUJISHTUKIA au AIBU Hutoweka. Ila Tambueni Pia Kuwa Level Ya Confidence / Self Esteem Hutofautiana Kwa Binadamu Mmoja Na Mwingine Kwani Psychologically Kuna MIJITU Mingine MISHIPA Yao Ya AIBU Ilishakatwa Tokea Wakiwa Tumboni Mwa Mama Zao Na Kuna Wengine Wana Natural Confidence Ila Wengine Ndiyo Hivyo Tena Type Za Akina Sam Mahela. Kwa Mfano Mwangalieni Mtangazaji Kijana Na Mdogo Kabisa Wa ITV Ambaye Husoma News Bulletin Aitwae Benjamin Mzinga Alivyo Na Confidence Ya AJABU Na NZURI Lakini Mtizameni NGONGOTI Na NJEMBA Sam Mahela Linavyojiharahara Na Kutetemeka Hovyo.

Umeelimisha vituri sana kitaalam ila ukamalizia kifala
 
Back
Top Bottom