Sam Mahela umekuwaje leo?

Sam Mahela umekuwaje leo?

Huku Salon Yake Kubwa Ikiwa Hiyo Ya Hapo Nyuma Ya Kituo Cha Mwenge Cha Mabasi Yaendayo Tegeta, Kawe, Bunju, Kunduchi Na Bagamoyo Iitwayo CHOGAM. Nadhani Hata Baadae Lazima Tu Ataenda Hapo Kujitengeneza Na Anapenda Mno Scrubbing Na Kuweka Nywele Zake Dawa. Ila Ninachompendea Huyu Mdogo Wangu Na Poti Pia Ni Kwamba Popote Awapo Huwa Hajui Kuringa au Kumdharau Mtu Kama Mtangazaji Mmoja Hivi Wa KIUME POPOMA Wa Mawingu Tv Kipindi Cha 90 Degrees Zidisha Mara 4 Kisha Total Yake Ndiyo Kipindi Chake Ambaye Hupenda Sana Kuwa Na MAJIPU ( Kuringa ).
Nimempata huyo popoma mkuu.yani hua anaongea utadhani yeye pekeyake ndiye ana definition ya kufanikiwa kimaisha na wengine hawajui chochote kumbe ----- tu.
 
Sioni cha kushangaa hapo,ni ugeni wa kazi akizoea atasoma poa tu.Wengi wanaoponda hapa hawajawahi kuzungumza officialy mbele ya watu 10 labda kwenye vijiwe vya mpira na kubet
 
Huku Salon Yake Kubwa Ikiwa Hiyo Ya Hapo Nyuma Ya Kituo Cha Mwenge Cha Mabasi Yaendayo Tegeta, Kawe, Bunju, Kunduchi Na Bagamoyo Iitwayo CHOGAM. Nadhani Hata Baadae Lazima Tu Ataenda Hapo Kujitengeneza Na Anapenda Mno Scrubbing Na Kuweka Nywele Zake Dawa. Ila Ninachompendea Huyu Mdogo Wangu Na Poti Pia Ni Kwamba Popote Awapo Huwa Hajui Kuringa au Kumdharau Mtu Kama Mtangazaji Mmoja Hivi Wa KIUME POPOMA Wa Mawingu Tv Kipindi Cha 90 Degrees Zidisha Mara 4 Kisha Total Yake Ndiyo Kipindi Chake Ambaye Hupenda Sana Kuwa Na MAJIPU ( Kuringa ).

90*4=360,ahaaa mawingu 360
 
Kesho mtarudi wenyewe kuanzisha thread za kumsifia,mnajua Mahela au mnasimuliwa
 
Back
Top Bottom