Salva Kiir Fires Mabior Garang De Mabior From Cabinet

Salva Kiir Fires Mabior Garang De Mabior From Cabinet

Salvar Kiir hawezi kumpa madaraka Riek Machar, someni historia ya Sudan Kusini muone, Salva Kiir ni mbabe wa vita hata Bashir Rais wa Sudani anamuogopa. Salva Kiir ndie mwanzilishi wa mapambano hai dhidi ya utawala wa Sudan miaka mingi iliopita, kwa kuwa hakwenda sana Shule Salva alimkaribisha J Garang kujiunga na SPLM, wakati huo Garang alitumwa na Bashir kwenda kufanya maongezi na vikundi vya waasi Nyumbani kwake Sudan kusini ya leo(mediator).Garang akabaki kusini kwa ushawish alioukuta wa Salva na akapewa uongozi na Salvar akabaki ngomeni kama Kiongozi wa jeshi. Riek ni msaliti, alisoma Khatuom mpaka degree zake kabla ya kwenda nje, alitumika Mara mbili kujiunga na kuwavuruga SPLM na vita vilitokea kati yake na Garang, Riek alishakuwa waziri Khartoum kwa Bashir , ni mroho sana. Salva ana wafia vita, watu walioipigania Sudan ya Kusini, kwa uchungu na ukombozi wa Sudani ya kusini Salva Kiir anazidi ata John Garang marehem kwa kuteseka. Soma Ujue.

Let me quote this words from you for my future reference
 
Rik machaar ana tabia za kishenzi sana, nilkuwa nakuona wa maana
Ila baada ya hapa juzi kutaka kumuhujumu kiir nikajua kabisa huyu hana sifa tena za kuwa kiongoz
 
Mwenye tatizo apo ni Riek machar, kwakuwa aliindaa mapinduzi na yakashindwa ivyo alikiuka makubaliano, bila shaka Riek Machar ndo wa kulaumiwa kwa vurugu izi za sasa na sio Salva kiir
Huyo Kir unafahamu madudu yake?
 
Huyo Kir unafahamu madudu yake?
Kwa kifupi tu
Jamaa ni mbabe wa vita kutoka msituni, huyu ni mafia

Ila riik machaar mi huwa naamini kabisa ni pandikiz la bashir
Hafai kuwa kiongozi wa sudan kusin
 
Huyo Kir unafahamu madudu yake?
Kwa kifupi tu
Jamaa ni mbabe wa vita kutoka msituni, huyu ni mafia

Ila riik machaar mi huwa naamini kabisa ni pandikiz la bashir
Hafai kuwa kiongozi wa sudan kusin
 
Aug 1, 2016
Nairobi, Kenya

Ex-Minister Mabior Garang: S.Sudan on Verge of Genocide

Minister for Water and Irrigation Mabior Garang has dismissed the sacking of first Vice President Dr Riek Machar as illegal nd outside the peace accord.
Mabior who is son to South Sudan founding father the late Col John Garang warns that without the return of Riek into cabinet there is a possibility of a the country slipping into Genocide. Mabior made the remarks in an exclusive interview


Source: NBS Uganda
 
Back
Top Bottom