The political - public dichotomy in our country is extremely complicated and nonsensical by our own ignorance. Mpiga salute hajui kwa nn anaipiga japo anajua mtu stahili wa kumpigia, mpigiwa ndio kabisa hajui, ila kwa sababu amezoea asipopigiwa atamwambia kilaza mumewe kwamba hakupata "mapokeo" mazuri. Ni mbaya sana........