Ukiwa na hofu na mkeo chunguza kisha ondoa hofu yako, la sivyo hofu itapelekea kuishi maisha ya hofu, mafarakano na mashaka. Mapenzi na uaminifu hayadumishwi kwa kumzuia mkeo kwenda sehemu au kumfuatafuata kila pahali, mapenzi yanadumishwa kwa mapenzi na kuaminiana.