Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,715
- 45,114
Mkazi mmoja wa Geita, Salum Bashite amekutwa akiwa amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni huko mkoani Geita.
Habari zaidi zinakuja...
Habari zaidi zinakuja...
Yaanii😂🤣🤣
Watu mna hamu kifo kimtokee msiyempenda!
Yaanii😂
Hellow juhjuh,.Hey babes..
MI MWENYEWE NILIPOSOMA HEADING MOYO UKAFANYA paaaaaaa......🤣🤣
Watu mna hamu kifo kimtokee msiyempenda!
Moyo ukafanyaje ongeza sauti kidogo?MI MWENYEWE NILIPOSOMA HEADING MOYO UKAFANYA paaaaaaa......
Ila hata kama hapendwi, tuna ya kujifunza kwake....
MI MWENYEWE NILIPOSOMA HEADING MOYO UKAFANYA paaaaaaa......
Ila hata kama hapendwi, tuna ya kujifunza kwake....
Mimi nilivyosikia Bashite afariki nilidhani Bashite "Paul Makonda"??!!!!!Nimerukkaaa kwa furaha ila kusoma na kuona Salum Bashite huzuni imenishika.Mkazi mmoja wa Geita, Salum Bashite amekutwa akiwa amefariki dunia katika nyumba ya kulala wageni huko mkoani Geita.
Habari zaidi zinakuja...View attachment 1179768