Salum Mwalimu punguza kamba!

Salum Mwalimu punguza kamba!

Avatar yako inaakisi unachoshangaa...!! Yaani unamuona mbunge ni mtu mdogo sana hawezi kuomba world bank...!?? Mbunge anabeba dhamana ya watu wa Jimbo zima anashindwa vp kupata msaada kutoka ktk taasisi kubwa km world bank!?? Kweli ujinga ni mzigo.
Hivi KUB alishawahi ongea na world bank?
 
Eti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.

Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?

Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?
Million50 kila kijiji zikowapi? Nyani haoni kundu*#",/*lake.
 
Anaishi MACHAME .... Ila fahamu kuwa ubunge hauna mipaka ya ukazi, bora awe raia
Kinondoni inamuhitaji mwenye kujua shida za wananchi na anayeishi nao bega kwa bega.
Tamaa ya cheo inayomkabili Mwalimu haiwezi kujazwa na ubunge wa Kinondoni.
Kinondoni sio sehemu ya majaribio ya uongozi.
 
Million50 kila kijiji zikowapi? Nyani haoni kundu*#",/*lake.
kwani ziliahidiwa ndani ya miezi mitatu?
Unajua so far ni kiasi gani cha fedha kimetolewa kwa vijana na kinamama kwa ajili ya maendeleo?
 
Kinondoni inamuhitaji mwenye kujua shida za wananchi na anayeishi nao bega kwa bega.
Tamaa ya cheo inayomkabili Mwalimu haiwezi kujazwa na ubunge wa Kinondoni.
Kinondoni sio sehemu ya majaribio ya uongozi.
Sheria inasemaje kwan?? Au hujui hata huyo Mtulia ni Mpemba Njaa anaenunulika kama shati
 
Salum mwalimu baba umepita kutoka kinondoni Mosko
 
Sheria inasemaje kwan?? Au hujui hata huyo Mtulia ni Mpemba Njaa anaenunulika kama shati
Mtulia ni mpiga kura wa Kinondoni huyo mwingine ni mpiga kura huko Zenji...
 
wagombea wote wa kinondoni wanashida.huyu salum haijui vizuri kinondoni yule wa cuf ni mbaguzi balaa.huyu wa ccm ni shida tupu. yeye anajua kazi ya mbunge ni kumpenda rais na kukopa mamilioni ya shilingi kupitia udhamini wa bunge basi. pamoja na mapungufu hayo mara mia salumu
 
Ndipo utakajua umbumbu wa huyu jamaa kama Lema anavyojidanganya na barabara za katikati ya mji pale Arusha kua ni jitihada zake wakati ni mradi wa Serikali uliofadhiliwa na benki ya dunia
 
Back
Top Bottom