funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,959
- 31,497
- Thread starter
- #21
Hivi KUB alishawahi ongea na world bank?Avatar yako inaakisi unachoshangaa...!! Yaani unamuona mbunge ni mtu mdogo sana hawezi kuomba world bank...!?? Mbunge anabeba dhamana ya watu wa Jimbo zima anashindwa vp kupata msaada kutoka ktk taasisi kubwa km world bank!?? Kweli ujinga ni mzigo.