Labda kaingia ahadi na World Bank , msimdharau jamani, uenda ni project hiyo.Eti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?
Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?
World Bank ipi ambayo ameshindwa kuongea nayo walau waboreshe mandhari ya makao makuu yao; maana kile kibanda pale ufipani kinawatia aibu.
Kama zile za mil 50 kila kijiji?Eti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?
Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?
Sawa Salum Mwalimu anaweza kuonekana kaongea ili mradi tu lakini wabunge kibao huwa wanaomba misaada kwa wafadhili nje ya Nchi na wanasaidiwa..Eti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?
Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?
Eti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?
Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?
World bank hukopesha/hufadhili shughuli za maendeleo tuWorld Bank ipi ambayo ameshindwa kuongea nayo walau waboreshe mandhari ya makao makuu yao; maana kile kibanda pale ufipani kinawatia aibu.
Ataongea na world bank. Anaweza kufanikiwa au asiwanikiwe kupata fedha za huo mradiEti anawaaahidi wanakinondoni wamchague ili ndani ya miezi mitatu aongee na world bank kutekeleza miradi ya maendeleo.
Hivi Mwalimu anawaonaje wanaKinondoni?
Hizi siasa za kilaghai tutaacha lini?