DOKEZO Salum Mwalimu katoa wapi hela ya kugawa Nchi Nzima? Kanipa laki tatu. TAKUKURU mpo wapi?

DOKEZO Salum Mwalimu katoa wapi hela ya kugawa Nchi Nzima? Kanipa laki tatu. TAKUKURU mpo wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,662
Reaction score
59,100
Aliyekuwa naibu katibu Mkuu CHADEMA bara Salum Mwalim ana hela chafu.
20250521_202105.jpg

Ana hela hadi zinamwagika. Mimi kanipa laki tatu za kibongo.

TAKUKURU mpo wapi? Nipo tayari kutoa Ishahidi. Mkoba wenye Hela za Salum Mwalimu ameushika Henry Kilewo. Hela zimetoka kwa Mama wa Zanzibar kupitia mwanaye mpendwa ili kuvuruga Upinzani. Halafu watu wanadai Tanzania Masikini.

Mtu alokuwa ananiambia nimchangie hela ya Mikutano yake Zanzibar leo ananipa hela nikanywe Kimiminika ninachotaka Juliana Mbezi! Mimeogopa sana.

Pale Dodoma hadi Mwezi wa 12 mwkaa 2024 Boma lake lilikuwa kwenye madirisha hadi limekuwa la kijani.

TAKUKURU niiteni niwape Ushirikiano. Au hata Polisi...

Last time walinionea wakaniita pale Gorofa ya Nane interpol jengo la mabo ya ndani posta. Safari hii nao waniite niwape za ndani.

Eti Abdul Hassan ndo anagawa Hela.

Yaani Makada wa CHADEMA wanapewa Milioni 200 Wahame mimi niliyeona hela napewa laki tatu. Hizi ni dharau..

Ushauri: Kama wewe ni Mwanasiasa wq CHADEMA na unaona mambo hayaelewi, Itisha press conference jifanye inahamia CHAUMA.

Karibu yake ni laki 5.

Natamani kupata Wadukukuzi tuduke account ya Salum Mwalimu

Uzuri hii ID anaijua. Akinichoma nami nachoma ID yake😂😂

Salum Mwalimu aulizwe alipo mdude Nyagali
 
Aliyekuwa naibu katibu Mkuu CHADEMA bara Salum Mwalim ana hela chafu.

Ana hela hadi zinamwagika. Mimi kanipa laki tatu za kibongo.

TAKUKURU mpo wapi? Nipo tayari kutoa Ishahidi.

Mtu alokuwa ananiambia nimchangie hela ya Mikutano yake Zanzibar leo ananipa hela nikanywe Kimiminika ninachotaka Juliana Mbezi! Mimeogopa sana.

Pale Dodoma hadi Mwezi wa 12 mwkaa 2024 Boma lake lilikuwa kwenye madirisha hadi limekuwa la kijani.

TAKUKURU niiteni niwape Ushirikiano. Au hata Polisi...

Last time walinionea wakaniita pale Gorofa ya Nane interpol jengo la mabo ya ndani posta. Safari hii nao waniite niwape za ndani.

Eti Abdul Hassan ndo anagawa Hela.

Yaani Makada wa CHADEMA wanapewa Milioni 200 Wahame mimi niliyeona hela napewa laki tatu. Hizi ni dharau..

Ushauri: Kama wewe ni Mwanasiasa wq CHADEMA na unaona mambo hayaelewi, Itisha press conference jifanye inahamia CHAUMA.

Karibu yake ni laki 5.

Natamani kupata Wadukukuzi tuduke account ya Salum Mwalimu

Uzuri hii ID anaijua. Akinichoma nami nachoma ID yake😂😂

Salum Mwalimu aulizwe alipo mdude Nyagali
alietoa na aliepokea rushwa wote wanastahili kupata msukosuko wa na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria :BASED:
 
Kisa cha kuwafukuza waomani mapinduzi znz naona wamekuja kutawala sasa
 
Tumekwenda katika Mkutano kwa hiyari zetu wenyewe na nauli zetu wenyewe!, Mimi nalikuwepo, sijaambulia hata Mia moja, ispokuwa kwa sisi wajumbe, tumekodiwa hotel, na kupewa chakula. Tunajiandaa kusafiri kesho!,
 
Nina uhakika hio pesa uko mahali unaitafuna na Mrembo mnachoma nyama na bia za kutosha...
 
Aliyekuwa naibu katibu Mkuu CHADEMA bara Salum Mwalim ana hela chafu.
View attachment 3341389
Ana hela hadi zinamwagika. Mimi kanipa laki tatu za kibongo.

TAKUKURU mpo wapi? Nipo tayari kutoa Ishahidi. Mkoba wenye Hela za Salum Mwalimu ameushika Henry Kilewo. Hela zimetoka kwa Mama wa Zanzibar kupitia mwanaye mpendwa ili kuvuruga Upinzani. Halafu watu wanadai Tanzania Masikini.

Mtu alokuwa ananiambia nimchangie hela ya Mikutano yake Zanzibar leo ananipa hela nikanywe Kimiminika ninachotaka Juliana Mbezi! Mimeogopa sana.

Pale Dodoma hadi Mwezi wa 12 mwkaa 2024 Boma lake lilikuwa kwenye madirisha hadi limekuwa la kijani.

TAKUKURU niiteni niwape Ushirikiano. Au hata Polisi...

Last time walinionea wakaniita pale Gorofa ya Nane interpol jengo la mabo ya ndani posta. Safari hii nao waniite niwape za ndani.

Eti Abdul Hassan ndo anagawa Hela.

Yaani Makada wa CHADEMA wanapewa Milioni 200 Wahame mimi niliyeona hela napewa laki tatu. Hizi ni dharau..

Ushauri: Kama wewe ni Mwanasiasa wq CHADEMA na unaona mambo hayaelewi, Itisha press conference jifanye inahamia CHAUMA.

Karibu yake ni laki 5.

Natamani kupata Wadukukuzi tuduke account ya Salum Mwalimu

Uzuri hii ID anaijua. Akinichoma nami nachoma ID yake😂😂

Salum Mwalimu aulizwe alipo mdude Nyagali

Itakuwa kapata bank ya Muungano wa bank
 
Back
Top Bottom