DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Mchinga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Salma Kikwete 'Mama Salma' amesema, maendeleo makubwa yaliyofikiwa jimboni humo chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ni kama muujiza kwani kwa muda mfupi tu amegusa nyanja mbalimbali.
Amesema hayo leo Septemba 25 jimboni Mchinga mkoani Lindi kwenye mkutano wa kampeni ya Mwenyekiti wa CCM na mgombea urais, Dk. Samia, alipofika kuinadi Ilani ya CCM na kuomba kura kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.
Amesema hayo leo Septemba 25 jimboni Mchinga mkoani Lindi kwenye mkutano wa kampeni ya Mwenyekiti wa CCM na mgombea urais, Dk. Samia, alipofika kuinadi Ilani ya CCM na kuomba kura kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29.