Salma Kikwete: 'Energy drink' zinaharibu watoto, tutafute mbadala

Salma Kikwete: 'Energy drink' zinaharibu watoto, tutafute mbadala

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Salma Kikwete ameishauri Serikali kutafuta mbadala wa vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), baada ya kuonekana vinywaji hivyo vinavyotumiwa na vijana wengi nchini vinaharibu vijana hao ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Soma > Serikali yapunguza kodi kwenye vinjwaji aina ya Energy Drink

Salma amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala kuhusu Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024, Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/2026 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

"Kuna kitu kinaitwa ‘energy’, ni shida, ni tatizo na wanaokunywa ni watoto wadogo na wanakunywa kwa malengo yapi? kama wanaweza sasa hivi wana umri wa miaka 13 ‘kuboost’ wakifika miaka 28 watakuwa katika hali gani? zinaharibu watoto jamani, watoto wanaangamia tutafute mbadala jamani," amesema Salma Kikwete

 
Jiwe hatawahi kumsahau huyu Maza. Unaambiwa jiwe alipozuia bidhaa zake zisitoke bandarini Hadi azilipie Kodi akamvalia kanga Hadi magogoni na kumshukia za Kiswahili kama Siyo Sisi usingekuwa Rais. Jiwe alilegea akamuomba msamaha akamuambia mama umesema kweli nenda bidhaa zako ziko huru Na kumzawadia ubunge wa viti maalum.

johnthebaptist Pascal Mayalla
 
Mbadala ni kutoa ajira kwa wingi wapate motivation ya kusoma wakijua kuna ajira badala ya kutafuta starehe za muda mfupi
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Salma Kikwete ameishauri Serikali kutafuta mbadala wa vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), baada ya kuonekana vinywaji hivyo vinavyotumiwa na vijana wengi nchini vinaharibu vijana hao ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Salma amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala kuhusu Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024, Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/2026 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

"Kuna kitu kinaitwa ‘energy’, ni shida, ni tatizo na wanaokunywa ni watoto wadogo na wanakunywa kwa malengo yapi? kama wanaweza sasa hivi wana umri wa miaka 13 ‘kuboost’ wakifika miaka 28 watakuwa katika hali gani? zinaharibu watoto jamani, watoto wanaangamia tutafute mbadala jamani," amesema Salma Kikwete
Huyu mtani wangu Na yeye kayajulia wapi hayo ya vijana wa kiume ku boost kwa kunywa energy?
 
Huyu mtani wangu Na yeye kayajulia wapi hayo ya vijana wa kiume ku boost kwa kunywa energy?
Kwakuwa yeye anaishi mbinguni ama unamaanisha nn?? Huyu anaishi duniani kama wewe tu. Utofauti wenu ni kuwa wewe unaishi mbagala ye anaishi kawe beach. Kote energy zinauzwa na ni Mama na bibi pia
 
Jiwe hatawahi kumsahau huyu Maza. Unaambiwa jiwe alipozuia bidhaa zake zisitoke bandarini Hadi azilipie Kodi akamvalia kanga Hadi magogoni na kumshukia za Kiswahili kama Siyo Sisi usingekuwa Rais. Jiwe alilegea akamuomba msamaha akamuambia mama umesema kweli nenda bidhaa zako ziko huru Na kumzawadia ubunge wa viti maalum.

johnthebaptist Pascal Mayalla
Mtanikumbuka 😁🙏
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Salma Kikwete ameishauri Serikali kutafuta mbadala wa vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), baada ya kuonekana vinywaji hivyo vinavyotumiwa na vijana wengi nchini vinaharibu vijana hao ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Soma > Serikali yapunguza kodi kwenye vinjwaji aina ya Energy Drink

Salma amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala kuhusu Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024, Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/2026 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

"Kuna kitu kinaitwa ‘energy’, ni shida, ni tatizo na wanaokunywa ni watoto wadogo na wanakunywa kwa malengo yapi? kama wanaweza sasa hivi wana umri wa miaka 13 ‘kuboost’ wakifika miaka 28 watakuwa katika hali gani? zinaharibu watoto jamani, watoto wanaangamia tutafute mbadala jamani," amesema Salma Kikwete

Vijana wanaopotezwa na "watu wasiojulikana" hawamuumi kabisa?
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Salma Kikwete ameishauri Serikali kutafuta mbadala wa vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), baada ya kuonekana vinywaji hivyo vinavyotumiwa na vijana wengi nchini vinaharibu vijana hao ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Soma > Serikali yapunguza kodi kwenye vinjwaji aina ya Energy Drink

Salma amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala kuhusu Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024, Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/2026 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

"Kuna kitu kinaitwa ‘energy’, ni shida, ni tatizo na wanaokunywa ni watoto wadogo na wanakunywa kwa malengo yapi? kama wanaweza sasa hivi wana umri wa miaka 13 ‘kuboost’ wakifika miaka 28 watakuwa katika hali gani? zinaharibu watoto jamani, watoto wanaangamia tutafute mbadala jamani," amesema Salma Kikwete

Watengenezaji ni wanaccm wenzao.. Waongee nao vizuri
 
Mbunge wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi, Salma Kikwete ameishauri Serikali kutafuta mbadala wa vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks), baada ya kuonekana vinywaji hivyo vinavyotumiwa na vijana wengi nchini vinaharibu vijana hao ambao ni nguvu kazi ya Taifa.

Soma > Serikali yapunguza kodi kwenye vinjwaji aina ya Energy Drink

Salma amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia mjadala kuhusu Hali ya Uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024, Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/2026 na Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

"Kuna kitu kinaitwa ‘energy’, ni shida, ni tatizo na wanaokunywa ni watoto wadogo na wanakunywa kwa malengo yapi? kama wanaweza sasa hivi wana umri wa miaka 13 ‘kuboost’ wakifika miaka 28 watakuwa katika hali gani? zinaharibu watoto jamani, watoto wanaangamia tutafute mbadala jamani," amesema Salma Kikwete

Kwani unakunywa energy drink kwa kulazimishwa? Ukanywe createn kama hufany gym? Energy drink si kuna Beta carnertine, arginine etc, utakulaje asprin wakati huumwi kichwa. Ati serikali itafute kinywaji kingine - huyu alikuwa First Lady
 
alifanya utafiti au anaongea tu.

Shida ni energy drinks au tabia ya jamii kwa ujumla, Taifa lina shida kubwa ya maadili na mfumo wa maisha kwa ujumla.

Kuna tatizo la vijana wengi kuzagaa mitaani wakiwa hawana cha kufanya, hili ni tatizo kubwa linalohitaji ufumbuvi.

Jamii iliyokuwa imekaakaa tu haina cha kufanya ni hatari kwenye maadili.
 
Jiwe hatawahi kumsahau huyu Maza. Unaambiwa jiwe alipozuia bidhaa zake zisitoke bandarini Hadi azilipie Kodi akamvalia kanga Hadi magogoni na kumshukia za Kiswahili kama Siyo Sisi usingekuwa Rais. Jiwe alilegea akamuomba msamaha akamuambia mama umesema kweli nenda bidhaa zako ziko huru Na kumzawadia ubunge wa viti maalum.

johnthebaptist Pascal Mayalla
Haa Haa Ndiyo Jiwe Alitaka Kupiga Shangazi Zake Na Kiswaswadu
Akasema Tutawatimua Bungeni Na Bunge Litaendelea
 
Back
Top Bottom