mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,973
Ni hivi majuzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kimepata safu yake ya uongozi.Miongoni mwa viongozi waliochaguliwa tena kwa kura nyingi,ni naibu katibu Mkuu,Zanzibar Salim Mwalimu.
Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni kampuni hii ambayo Rostam Aziz na Edward Lowassa mgombea mtatajiwa wa urais,wana hisa kubwa.Ni kampuni hii.Pia huyu na pengine bado Ni mtangazaji WA channel ten.Pengine Kuna mtu yeyote mwenye kumfahamu zaidi ya Hapo atujuze.
Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni kampuni hii ambayo Rostam Aziz na Edward Lowassa mgombea mtatajiwa wa urais,wana hisa kubwa.Ni kampuni hii.Pia huyu na pengine bado Ni mtangazaji WA channel ten.Pengine Kuna mtu yeyote mwenye kumfahamu zaidi ya Hapo atujuze.