Salim Mwalimu ni nani

Salim Mwalimu ni nani

mayenga

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2009
Posts
4,118
Reaction score
1,973
Ni hivi majuzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kimepata safu yake ya uongozi.Miongoni mwa viongozi waliochaguliwa tena kwa kura nyingi,ni naibu katibu Mkuu,Zanzibar Salim Mwalimu.

Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni kampuni hii ambayo Rostam Aziz na Edward Lowassa mgombea mtatajiwa wa urais,wana hisa kubwa.Ni kampuni hii.Pia huyu na pengine bado Ni mtangazaji WA channel ten.Pengine Kuna mtu yeyote mwenye kumfahamu zaidi ya Hapo atujuze.
 
Ni hivi majuzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kimepata safu yake ya uongozi.Miongoni mwa viongozi waliochaguliwa tena kwa kura nyingi,ni naibu katibu Mkuu,Zanzibar Salim Mwalimu.

Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni kampuni hii ambayo Rostam Aziz na Edward Lowassa mgombea mtatajiwa wa urais,wana hisa kubwa.Ni kampuni hii.Pia huyu na pengine bado Ni mtangazaji WA channel ten.Pengine Kuna mtu yeyote mwenye kumfahamu zaidi ya Halo atujuze.
Usalama wa Mafisadi at work!Good try though!!!
 
So What?


Hata mimi nafanya kazi kwenye Kampuni ya Lowasa.

So??
 
nikukumbushe tu salum mwalim ana mke na watoto hivyo haitaji kuongeza mke mwingine
 
Ni hivi majuzi Chama cha Demokrasia na Maendeleo,Chadema,kimepata safu yake ya uongozi.Miongoni mwa viongozi waliochaguliwa tena kwa kura nyingi,ni naibu katibu Mkuu,Zanzibar Salim Mwalimu.

Kwa uelewa wangu,Salim Mwalimu,Ni mwajiriwa wa Kampuni ya Vodacom Katika nafasi ya upande wa masoko.Ni kampuni hii ambayo Rostam Aziz na Edward Lowassa mgombea mtatajiwa wa urais,wana hisa kubwa.Ni kampuni hii.Pia huyu na pengine bado Ni mtangazaji WA channel ten.Pengine Kuna mtu yeyote mwenye kumfahamu zaidi ya Hapo atujuze.
huyu ndiye aliezaa na mbunge wa Chadema ambae nae ni mke wa mtu na nimeamini hiki Chama Cha wahuni kuanzia Mwenyekiti wake Mbowe kazaa na Joyce Mukya na huyo salim Mwalimu kazaa na Esther Matiko ambae na yeye ni mke wa Mzee Matiko. Mpaka hapo matona ni jinsi gani Chama Cha Chadema kisivyo na adabu
 
- Salimu Mwalimu kabila lake ni Mngazija lenye asili ya Comoro
- Mama yake mkubwa Salimu Mwalimu ni kada mashuhuri wa chadema Anna Maulida Komu mama huyu ni Mngazija aliyeolewa na Mchagga
-Ameingia Chedama kutafuta kwani wangazija ni watafutaji kama wachagga.
 
huyu ndiye aliezaa na mbunge wa Chadema ambae nae ni mke wa mtu na nimeamini hiki Chama Cha wahuni kuanzia Mwenyekiti wake Mbowe kazaa na Joyce Mukya na huyo salim Mwalimu kazaa na Esther Matiko ambae na yeye ni mke wa Mzee Matiko. Mpaka hapo matona ni jinsi gani Chama Cha Chadema kisivyo na adabu

Bado wazae na mama yako tu ili ukiwaona uwaite baba.
 
- Salimu Mwalimu kabila lake ni Mngazija lenye asili ya Comoro
- Mama yake mkubwa Salimu Mwalimu ni kada mashuhuri wa chadema Anna Maulida Komu mama huyu ni Mngazija aliyeolewa na Mchagga
-Ameingia Chedama kutafuta kwani wangazija ni watafutaji kama wachagga.

Mhhh! Kwa umbea tu hujambo.....
 
Siku zote nazarau sana watu wanaotafuta habari za umbea wa maisha binafsi ya watu.Huko CCM wangapi wamezaa zaa mpaka Chadema iwe ya kihuni. Watu wenye akili ndogo ndio hujadili huo upumbavu hapo juu.Mlitaka hao watoto waliozaliwa wawaue?

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
huyu ndiye aliezaa na mbunge wa Chadema ambae nae ni mke wa mtu na nimeamini hiki Chama Cha wahuni kuanzia Mwenyekiti wake Mbowe kazaa na Joyce Mukya na huyo salim Mwalimu kazaa na Esther Matiko ambae na yeye ni mke wa Mzee Matiko. Mpaka hapo matona ni jinsi gani Chama Cha Chadema kisivyo na adabu



Limtokalo mtu mdomoni ndio limtialo unajisi,

Wakati anazaa na matiko,wewe ulikuwa wapi?,
Je,wewe ndie mtaalam wa vinasaba?, kwa ukware wako,usiwaunganishe na wengine,
Salm mwalimu kifaa kipya,Nnape na mwigullu+ mzee wa meli zinazovusha pembe bila kukaguliwa ajiandae tu
 
Siku zote nazarau sana watu wanaotafuta habari za umbea wa maisha binafsi ya watu.Huko CCM wangapi wamezaa zaa mpaka Chadema iwe ya kihuni. Watu wenye akili ndogo ndio hujadili huo upumbavu hapo juu.Mlitaka hao watoto waliozaliwa wawaue?

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums


Mkuu catherine haule umekuwa mkali bila kuzingatia kuwa,viongozi wanaotuongoza yabidi kuwafahamu vema.Hili si jammbo geni katika dunia,mi utaratibu unaoeleweka.
 
Last edited by a moderator:
Siku zote nazarau sana watu wanaotafuta habari za umbea wa maisha binafsi ya watu.Huko CCM wangapi wamezaa zaa mpaka Chadema iwe ya kihuni. Watu wenye akili ndogo ndio hujadili huo upumbavu hapo juu.Mlitaka hao watoto waliozaliwa wawaue?

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums

CCM ndiko kuna wazinzi mpaka wanaambukiza na watoto UKIMWI au umesahau sakata la profesa wa Tabora !!!?
 
MIE PIA nafanya kazi kwenye kampuni ya lowasa pia natumia vifaa vyake vya mawasiliano kupambana na ufisadi
 
huyu ndiye aliezaa na mbunge wa Chadema ambae nae ni mke wa mtu na nimeamini hiki Chama Cha wahuni kuanzia Mwenyekiti wake Mbowe kazaa na Joyce Mukya na huyo salim Mwalimu kazaa na Esther Matiko ambae na yeye ni mke wa Mzee Matiko. Mpaka hapo matona ni jinsi gani Chama Cha Chadema kisivyo na adabu

Kwahiyo unawaonea wivu wanawake wenzako??
 
CCM ndiko kuna wazinzi mpaka wanaambukiza na watoto UKIMWI au umesahau sakata la profesa wa Tabora !!!?
Na mwenyekiti (rais) ana vimada na watoto waliosahau mpaka mama zao. Wakiendelea na huu uhuni wa kukandia CDM tutaanza kuleta mahawara wa rais(mwenyekiti wa CCM). Waje tena!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom