Mtangazaji nguli wa habari Salim Kikeke ambaye alizoelea umaarufu mkubwa kwa style yake ya utangazaji ameondoka rasmi BBC baada ya kufanya kazi na chombo hicho cha habari kwa zaidi ya miaka kumi.
Hakika Kikeke aliifanya vyema kazi yake vyema sana, na kiukweli hatasaulika kwa umahiri wake!
Tunamtakia kila la heri kwa majukumu yake mapya atakayoanza!
Kuna za ndani kwamba anafuata nyayo za Zuhura eti!!!