rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,455
- 20,690
Mdhamini nayezungumzia sio Kama gsm. Mwigulu ana cheo yanga wakati huo huo ni mmiliki wa timu nyingine.Mdhamini kuwa mmoja sio tatizo as long sio mmiliki
Mbona fly emirates inadhamini timu nyingi
Yeye ndio anasimamia Mali za yanga unategemea kutakuwa na haki yanga ikicheza na Singida black star?