Haaaaahaaaa habari ya mkopo uisikie tu! Mm nilipokuwa nakatwa niliona kama naibiwa. Nimejifunza nikitaka kukopa tena najipanga kwanza nini nitafanya na tena kiwe kinaingiza zaidi ya makato ninayokatwa kwa mwezi kila mwezi, la sivo waweza kuishia kuwa unapiga kelele kila siku za mshahara hautoshi, kumbe salary slip ni majanga!