Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

Salary scale ya PGSS 5 ni sh.ngapi?

Negemu

Senior Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
138
Reaction score
138
Habari jamani Mimi ni Personal secretary kwenye shirika binafsi.kuna post imetangazwa utumishi.nataka kuapply ila sijaelewa iyo scale yao ya mshahara ni sh.ngapi naomba Msaada tafadhali
 
Wa Tz tunashida sanaaa na tuendelee kuomba mifumo ya ajira ya SERIKALI iendelee hivi, mtu baada ya kuja kuuliza sekta alio omba kazi ina deal na nini? Kipi anatakiwa afanye ili kuongeza tija ktk hiyo nafasi akipata anakuja uliza mshaharaaa? " kweli ndo mana sekta binafsi wana tukwepa sana wa tz mna mtu aki sign mkataba jq kujua anacholipwa haangaiki tena kuleta tija kwa taasisi
 
PSS G

PSS G. 1. (Sh 1,299,000),PSS G. 2. (Sh 1,324,500),PSS G. 3. (Sh 1,350,000),PSS G. 4. (Sh 1,375,500),PSS G. 5. (Sh 1,401,000),PSS G. 6. (Sh 1,426,500),PSS G. 7. (Sh 1,452,000),PSS G. 8. (Sh 1,477,500),PSS G. 9. (Sh 1,503,000),PSS G. 10. (Sh 1,528,500),PSS G. 11. (Sh 1,554,000),na PSS G. 12. (Sh 1,579,500).


Kwa More info click Below Link:Hiyo ni Mwaka 2013

Ngazi za Mishahara: PGSS 9 & PGSS 10
 
Hapa naona kuna mkanganyiko hii PGSS na PSS G ni vitu viwili sasa kama Secretary wa diploma anapokea 1,3M hapa boss atapokea 7m anyway kwa haraka haraka hizi ni scale mbili tofauti PGSS 5 na PSS G
 
Habari jamani Mimi ni Personal secretary kwenye shirika binafsi.kuna post imetangazwa utumishi.nataka kuapply ila sijaelewa iyo scale yao ya mshahara ni sh.ngapi naomba Msaada tafadhali
Tsh. 960,000
 
Wa Tz tunashida sanaaa na tuendelee kuomba mifumo ya ajira ya SERIKALI iendelee hivi, mtu baada ya kuja kuuliza sekta alio omba kazi ina deal na nini? Kipi anatakiwa afanye ili kuongeza tija ktk hiyo nafasi akipata anakuja uliza mshaharaaa? " kweli ndo mana sekta binafsi wana tukwepa sana wa tz mna mtu aki sign mkataba jq kujua anacholipwa haangaiki tena kuleta tija kwa taasisi
Usilolijua ni usiku wa kiza. Inaonekana upo nje ya nchi au private sector. Ustawi wa mtumishi unaendana na tija anayoleta.

Ndio maana mashirika, taasisi za umma wanazolipa vizuri watumishi wake hata huduma zao ni nzuri kwa kiwango fulani. Ustawi wa mtumishi kwanza mkuu. Hayo ya tija akitaka atakuja PM kukuuliza.
 
Back
Top Bottom