Salamu za Eid Alhajj

Salamu za Eid Alhajj

ACT Wazalendo

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2014
Posts
643
Reaction score
1,603
ACT-TANZANIA

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY.

Tunatoa salamu za Eid Allhaj kwa Watanzania na Waislam wote Duniani.

ACT-Tanzania tunawatakia mapumziko mema katika siku hii tukufu.

ACT-Tanzania Taifa Kwanza Leo na Kesho.

Imetolewa na
Neema John
Afisa Habari
076346370.
 
Kazi kweli kweli! Hivi nyie watu mnajua maana ya Breaking News kweli???!!!
 
ACT-TANZANIA

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY.

Tunatoa salamu za Eid Allhaj kwa Watanzania na Waislam wote Duniani.

ACT-Tanzania tunawatakia mapumziko mema katika siku hii tukufu.

ACT-Tanzania Taifa Kwanza Leo na Kesho.

Imetolewa na
Neema John
Afisa Habari
076346370.

We Neema John siku izi umeamua kuwa mjinga kabisa?
 
ACT-TANZANIA

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY.

Tunatoa salamu za Eid Allhaj kwa Watanzania na Waislam wote Duniani.

ACT-Tanzania tunawatakia mapumziko mema katika siku hii tukufu.

ACT-Tanzania Taifa Kwanza Leo na Kesho.

Imetolewa na
Neema John
Afisa Habari
076346370.
Salaam kwa Waislamu wote duniani? Watakusikia kweli? Au hizi ni njaa za kusaka kura?
 
ACT-TANZANIA

ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPERANCY.

Tunatoa salamu za Eid Allhaj kwa Watanzania na Waislam wote Duniani.

ACT-Tanzania tunawatakia mapumziko mema katika siku hii tukufu.

ACT-Tanzania Taifa Kwanza Leo na Kesho.

Imetolewa na
Neema John
Afisa Habari
076346370.

Kweli kazi mnayo salam kama hizi muwe mnaziweka magazetini ili hata mtanzania wa kijijini aweze kuzisoma
 
Hizo ndio Akili za Vijana wa ACT ni Shiidddaaa yani ni sheeeeddaaaaa(in komba voice).
 
act tanzania.mimi ni mwislam nashukuru idd imepita salama
 
Hapana Neema anahitaji kukombolewa

Wala usijali ni suala la muda tuu, mfuko wa mfadhili ukitoboka atakomboka!!! Kwasasa hatasikia la mtu sanasana tunaweza kuambiwa tuna wivu wa kike
 
Back
Top Bottom