financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,135
- 40,702
Wewe kwanini hutaki kutuoa?, unauliza maswali ambayo inabidi ujibiwe na wasiooa banaAnza na mimi kwa nini wanaume hawataki kukuoa?
Wewe kwanini hutaki kutuoa?, unauliza maswali ambayo inabidi ujibiwe na wasiooa banaAnza na mimi kwa nini wanaume hawataki kukuoa?
Tabia nyingine ni mtu mlisoma nae au kuishi nae siku za nyuma. Akipata namba yako tu kitu Cha Kwanza ni kuomba picha zako 🤔 iwe kwa wanaume au hata wanawake wenzangu naichukia Sana.
Tatizo na nyie mnachagua sana wanaumeEbu nipe mbinu jinsi ya kulijibu hilo swali maana huwa natamani kuchapa watu vibao nashindwa ni ndugu zangu wakubwa tu wanavoniuliza kuhusu kuhusu kuolewa kama mimi ndiye mzee mtaa mzima, i hate it
Inawezekana ndiyo sababu mkuu, ila kiukweli hatutakiwi kuchagua sana ila inabidi kuwe na vitu basic vya kuangalia siwezi mkubalia tu hata mvuta bangi na mvaa kata k eti sababu kanitangazia ndoa no, ndoa ni kifungo cha maisha kile tujitahidi kutafuta wafungwa wenzetu ambao tutaenda nao sawa. Hivo tuTatizo na nyie mnachagua sana wanaume
Hapo sawa!Inawezekana ndiyo sababu mkuu, ila kiukweli hatutakiwi kuchagua sana ila inabidi kuwe na vitu basic vya kuangalia siwezi mkubalia tu hata mvuta bangi na mvaa kata k eti sababu kanitangazia ndoa no, ndoa ni kifungo cha maisha kile tujitahidi kutafuta wafungwa wenzetu ambao tutaenda nao sawa. Hivo tu
Nimeipenda staili yako ya utongozaji hahahHapo sawa!
Ila kiukweli sasa hivi wanaume tumebaki wachache sana wajameni. Siyo kwamba wachache kwa idadi hapana. Wanaume ni wengi ila walio tayari kuingia kwenye majukumu ni wachache sana
Huwa nikiangalia kina dada wako tayari kuolewa ila wanaume wapo wapo tu kama mrenda yani hayajitambui kabisa.
Sijui kizazi cha miaka 10 ijayo kitakuwaje aisee!?
Yani natamani nikutafute uliko sister
Njoo Tarime huku nina notes ya hili swali....Ebu nipe mbinu jinsi ya kulijibu hilo swali maana huwa natamani kuchapa watu vibao nashindwa ni ndugu zangu wakubwa tu😂 wanavoniuliza kuhusu kuhusu kuolewa kama mimi ndiye mzee mtaa mzima, i hate it
Maswali kama hayo waulize Wahaya ndiyo wanapenda kuulizwa,
kwa mfano ukimuuliza Mhaya kwamba "Maisha yanaendaje"
ataanza kujisifu kana kwamba dunia yote ni yakwake.
Hilo mbna sio swali gumu coz mjanzito, ingekua hana hapo sasa ni noma.Nilikutana na classmate hospital ana mimba kubwa baada tu ya salamu nikamwambia hongeraa mtoto wa ngapi huyo? (Aliolewa miaka mi5 iliyopita so kwa uelewa wangu mdogo nikajua atakua na watoto wengine).
Baada ya lile swali nilimuona kabadilika kawa kama na huzuni, akanijibu 'Huyu ndio wa kwanza'.... nilijiskia vibaya sana na kujuta kwanini nilimuuliza nashukuru tu hakuchukia tukaendelea na story.
Kuna umuhimu wa kupima maneno/maswali yetu kabla hatujayatamka ili tusiumize wenzetu.
Hahaa akisema hivyo usiwaze mkuu. Muambie sasa hivi wewe ni usalama wa taifa upo ikulu ofisi ya rais.
cc bhana lol.Ebu nipe mbinu jinsi ya kulijibu hilo swali maana huwa natamani kuchapa watu vibao nashindwa ni ndugu zangu wakubwa tu wanavoniuliza kuhusu kuhusu kuolewa kama mimi ndiye mzee mtaa mzima, i hate it
Yeye:za siku M?
Mimi: nzuri
Yeye:utakuwa una watoto wengi sasa
Mimi:Noo,,siyo wengi wawili tu
Yeye:Umeolewa?
Mimi: nikiwa nimekunja ndita,Kwan wewe umeoa?
Yeye:Kitambo sana na ilishanishinda ndoa yenyewe!
Mimi: mwenyewe ilishanishinda!
Yeye: kwahiyo unaishije?
Mimi:Kama unavyoishi.
Yeye: Ha ha haa,M bhana..mimi ni mwanaume
Mimi: Hahahaa,nami ni mwanamke bro!!!
Me nawajibugi kaa chini usubiri maana ukisimama utaumwa miguu kwa kusubiri, baada ya hapo nakwambia nisikilize kwa makini usirudie kumuuliza mtu swali kama hilo hujui mtu anapitia nini kwa wakati huo, kumuuliza swali kama hilo unamuongezea machungu na unaweza sababisha mtu akukosee adabu au akutukane,
Kuna siku tuko kwenye sherehe tuko na dada mmoja hajaolewa na ilikua send off ya mdogo ake imagine akaja mmama anamwambia enhee flani we unaoelewa mdogo wako ndo huyo anaolewa yaan unaona kabisa mtu ananyong’onyea anaumia moyoni sikuamuacha salama yule mama
mbavu zangu mie lol.Tabia nyingine ni mtu mlisoma nae au kuishi nae siku za nyuma. Akipata namba yako tu kitu Cha Kwanza ni kuomba picha zako iwe kwa wanaume au hata wanawake wenzangu naichukia Sana.
Nimeipenda staili yako ya utongozaji hahah