Salamu kwa Balozi Humprey Polepole na wanaong'atuka au kung'atuliwa madarakani

Salamu kwa Balozi Humprey Polepole na wanaong'atuka au kung'atuliwa madarakani

Nyumba mbovu miundombinu tunahama na tunataja sababu za kuhama wewe chawa usitupangie cha kuongea bando ni letu la kuendea live hajatupa shumileta!
Nani amekupangia cha kusema mkuu😂😂 unayohaki ya kuongea, kutukana, kufanya chochote unachotaka kufanya. 😂😂💊💉
 
SIku wakianza kutekwa wa chama chenu.

Ndo utakuja kuielewa hiyo comment yangu --- kwa sasa hatutoelewana mkuu
Mimi sio mwanachama wa chama chochote mkuu. 😂😂
 
Halafu anajiona ana akili balaa. Akishapaniki anaanza kutukana. Hopulesi kabisa!🚮🚮🚮
😂😂😂 kwa nini nikutukane mkuu, mimi sio wa matusi.... ingawa kuna wakati unavyokuja ndivyo unavyopokelewa.
 
😂😂😂 kwa nini nikutukane mkuu, mimi sio wa matusi.... ingawa kuna wakati unavyokuja ndivyo unavyopokelewa.
Endelea na vikwotesheni vyako uchwara na uchawa wako huko. Pathetic!
 
Pole pole kwangu ni Shujaa.
Samia Hatakiwi kuendelee kukaa pale Hana alicho sahau maana ka kaa miaka kumi inatosha
 
Pole pole kwangu ni Shujaa.
Samia Hatakiwi kuendelee kukaa pale Hana alicho sahau maana ka kaa miaka kumi inatosha
Magu kakaa miaka 6, inabidi aendelee ili abalance mkuu
 
Pole pole kwangu ni Shujaa.
Samia Hatakiwi kuendelee kukaa pale Hana alicho sahau maana ka kaa miaka kumi inatosha
Akitoka nafasi yake utachukua wewe? Acha wivu wa kitoto.
 
Back
Top Bottom