JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Imekuwa ni jambo la kawaida siku hizi kuwasikia viongozi mbalimbali wakianza na salamu zenye vionjo vya kidini hata katika mikusanyiko isiyo ya kidini.
Kikao ni cha kiserikali kabisa au mkusanyiko usio bagua dini mtu anaanza kwa kusalimia salamu ndefu mathalani;
Asalamu aleyukum, bwana yesu asifiwe, Kristu n.k
HIVI kama nchi hatuna salamu nyingine ambayo haigemei upande wowote?
Je, kwa salamu hizo hatuoni tunawabagua wasio na dini, wabudha, marasta na wengineo?
Tuchukue tahadhari tujenge taifa moja linalo kumbatia masilahi ya kila mtanzani hususan wakati tunasalimiana.
Huu ni unyanyapaa wa kidini usio na faida yoyote.
Kikao ni cha kiserikali kabisa au mkusanyiko usio bagua dini mtu anaanza kwa kusalimia salamu ndefu mathalani;
Asalamu aleyukum, bwana yesu asifiwe, Kristu n.k
HIVI kama nchi hatuna salamu nyingine ambayo haigemei upande wowote?
Je, kwa salamu hizo hatuoni tunawabagua wasio na dini, wabudha, marasta na wengineo?
Tuchukue tahadhari tujenge taifa moja linalo kumbatia masilahi ya kila mtanzani hususan wakati tunasalimiana.
Huu ni unyanyapaa wa kidini usio na faida yoyote.