Salamu hiizi zinakera

JERUSALEMU

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
3,106
3,523
Imekuwa ni jambo la kawaida siku hizi kuwasikia viongozi mbalimbali wakianza na salamu zenye vionjo vya kidini hata katika mikusanyiko isiyo ya kidini.

Kikao ni cha kiserikali kabisa au mkusanyiko usio bagua dini mtu anaanza kwa kusalimia salamu ndefu mathalani;

Asalamu aleyukum, bwana yesu asifiwe, Kristu n.k

HIVI kama nchi hatuna salamu nyingine ambayo haigemei upande wowote?

Je, kwa salamu hizo hatuoni tunawabagua wasio na dini, wabudha, marasta na wengineo?

Tuchukue tahadhari tujenge taifa moja linalo kumbatia masilahi ya kila mtanzani hususan wakati tunasalimiana.

Huu ni unyanyapaa wa kidini usio na faida yoyote.
 
Alafu hizi salamu huwa zinaonesha ni jinsi gani tulivyo wanafiki kujifanya tupo karibu na mungu wakati report zinaonyesha ni wachawi dunia nzima!

Kimsingi hatuna salamu ya taifa nyingi ni zakitumwatumwa tu tena afadhali ile ya "Tumsifu yesu kristo" inaeleweka kuliko hizi zingine kama Asalaam Aleykum/Aleykuum Islaam hii sio lugha yetu ni ya kiarabu so ni yakitumwa kabisa, au Shaloom hii pia ni ya kitumwa maana hiki na kiyahudi.

Shikamoo/Marahaba hii ndio mbaya sana maana yake ni "Nipo chini ya miguu yako"/"Umesalimu Amri" ni lugha ya kiarabu kunyanyasa watu weusi enzi hizo so nashauri tutafute salamu zetu maalumu.

Japo uamsho wameumbwa ili wabishebishe wataona kama ni kumtusi mtume na salamu zao za kiarabu
 
ukipiga simu Tanesco kimara unapokelewa na nyimbo za dini, mara bahati bukuku, mara Rose Mhando, sasa wateja wote wa Tanesco ni wakristo? epukeni kuweka nyimbo za dini kwenye milio ya simu za kuhudumia wateja
 
Imekuwa ni jambo la kawaida siku hizi kuwasikia viongozi mbalimbali wakianza na salamu zenye vionjo vya kidini hata katika mikusanyiko isiyo ya kidini.

Kikao ni cha kiserikali kabisa au mkusanyiko usio bagua dini mtu anaanza kwa kusalimia salamu ndefu mathalani;

Asalamu aleyukum, bwana yesu asifiwe, Kristu n.k

HIVI kama nchi hatuna salamu nyingine ambayo haigemei upande wowote?

Je, kwa salamu hizo hatuoni tunawabagua wasio na dini, wabudha, marasta na wengineo?

Tuchukue tahadhari tujenge taifa moja linalo kumbatia masilahi ya kila mtanzani hususan wakati tunasalimiana.

Huu ni unyanyapaa wa kidini usio na faida yoyote.
Napendekeza tuwe tunatumia salamu ifuatayo: Kidumu chama cha mapinduzi
 
Mkuu ukiona wanatoa salam hizo ujue kuna kitu wanataka kutoka kwa audience hiyo.. Na mara nyingi inakuwa kwenye kampeni za uchaguzi.. Wanafiki hawa na wengine mpaka wanapiga magoti.. Shame on them..!!
 
Alafu hizi salamu huwa zinaonesha ni jinsi gani tulivyo wanafiki kujifanya tupo karibu na mungu wakati report zinaonyesha ni wachawi dunia nzima!

Kimsingi hatuna salamu ya taifa nyingi ni zakitumwatumwa tu tena afadhali ile ya "Tumsifu yesu kristo" inaeleweka kuliko hizi zingine kama Asalaam Aleykum/Aleykuum Islaam hii sio lugha yetu ni ya kiarabu so ni yakitumwa kabisa, au Shaloom hii pia ni ya kitumwa maana hiki na kiyahudi.

Shikamoo/Marahaba hii ndio mbaya sana maana yake ni "Nipo chini ya miguu yako"/"Umesalimu Amri" ni lugha ya kiarabu kunyanyasa watu weusi enzi hizo so nashauri tutafute salamu zetu maalumu.

Japo uamsho wameumbwa ili wabishebishe wataona kama ni kumtusi mtume na salamu zao za kiarabu

maoni yako yamekaa kishabiki sana mkuu
 
Alafu hizi salamu huwa zinaonesha ni jinsi gani tulivyo wanafiki kujifanya tupo karibu na mungu wakati report zinaonyesha ni wachawi dunia nzima!

Kimsingi hatuna salamu ya taifa nyingi ni zakitumwatumwa tu tena afadhali ile ya "Tumsifu yesu kristo" inaeleweka kuliko hizi zingine kama Asalaam Aleykum/Aleykuum Islaam hii sio lugha yetu ni ya kiarabu so ni yakitumwa kabisa, au Shaloom hii pia ni ya kitumwa maana hiki na kiyahudi.

Shikamoo/Marahaba hii ndio mbaya sana maana yake ni "Nipo chini ya miguu yako"/"Umesalimu Amri" ni lugha ya kiarabu kunyanyasa watu weusi enzi hizo so nashauri tutafute salamu zetu maalumu.

Japo uamsho wameumbwa ili wabishebishe wataona kama ni kumtusi mtume na salamu zao za kiarabu

Kuna siku nilikuwa kwenye mkutano na Benjamin Mkapa. Yeye alitusalimia "MAMBO?" Mimi naona ni bora salaam ya namna hii kuliko hayo ma asalama nini sijui na kristo kafanyaje. Ni unafiki tu.
 
Napendekeza tuwe tunatumia salamu ifuatayo: Kidumu chama cha mapinduzi AU

zidumu fikra za mwenyekiti......... teeh teeeh teeeeh!!!!!!!!!!!!! zidumu kweli fikra za m.k.w.e.r.e uuwiiiiiiiiiii!!!!
 
Alafu hizi salamu huwa zinaonesha ni jinsi gani tulivyo wanafiki kujifanya tupo karibu na mungu wakati report zinaonyesha ni wachawi dunia nzima!

Kimsingi hatuna salamu ya taifa nyingi ni zakitumwatumwa tu tena afadhali ile ya "Tumsifu yesu kristo" inaeleweka kuliko hizi zingine kama Asalaam Aleykum/Aleykuum Islaam hii sio lugha yetu ni ya kiarabu so ni yakitumwa kabisa, au Shaloom hii pia ni ya kitumwa maana hiki na kiyahudi.

Shikamoo/Marahaba hii ndio mbaya sana maana yake ni "Nipo chini ya miguu yako"/"Umesalimu Amri" ni lugha ya kiarabu kunyanyasa watu weusi enzi hizo so nashauri tutafute salamu zetu maalumu.

Japo uamsho wameumbwa ili wabishebishe wataona kama ni kumtusi mtume na salamu zao za kiarabu

iv mbona nyie huwa wachokozi sana sasa hapo maswala ya mtume yanakujaje? heshimu imani za watu.huyo jamaa hapo c amezingumzia kwenye mikutano.ww kama hujui wenzako wanajua.
 
Kumcha Mungu si kilemba Cheupe...
Waache kujipendekeza kwa Muumba...
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom