Habari wanajamvi?
Kuna demu ambaye ananiita kaka kwa kuwa mimi na yeye ni kabila moja. Na aliniambia kuwa ana boyfriend wake, basi kwa kulijua hilo mimi nimekuwa namchukulia kama dada na nina heshimu kauli yake kuwa yuko na mahusiano na jamaa.
Lakini yapata wiki sasa dada huyu amezua kamtindo ka kunitumia sms usiku za kunitakia usiku mwema na kila asubuhi ananitumia sms kunitakia asubuhi njema.
Sms zake huwa na vionjo vya kuashiria kuwa mm ni mtu wa muhimu sana kwake. Nauliza wanajamvi salaam hizi tafsiri yake nini?
Kuna demu ambaye ananiita kaka kwa kuwa mimi na yeye ni kabila moja. Na aliniambia kuwa ana boyfriend wake, basi kwa kulijua hilo mimi nimekuwa namchukulia kama dada na nina heshimu kauli yake kuwa yuko na mahusiano na jamaa.
Lakini yapata wiki sasa dada huyu amezua kamtindo ka kunitumia sms usiku za kunitakia usiku mwema na kila asubuhi ananitumia sms kunitakia asubuhi njema.
Sms zake huwa na vionjo vya kuashiria kuwa mm ni mtu wa muhimu sana kwake. Nauliza wanajamvi salaam hizi tafsiri yake nini?