Eee mwenyezi Mungu, wewe ni mwingi wa Rehema. Tunakushukuru sana kwa kuiweka nchi yetu ya TZ katika hali ya utulivu kwa kipindi choote hiki cha uchuguzi na haswa kampeni.
Mungu sasa tunaingia pale haswa kenye kiini cha kampwni hizi, kuwachagua viongozi wa nchi yetu tukufu uliyotupa. Tunakusihi utupe zaidi utashi wa kisiasa hata kwa wakati huu uliobaki ili tukamchague kiongozi yule ambae ni bora na anaekupendezq wewe kwani tunajua kama akiwa mapenzi yako basi nasi kwetu atatufaa sana.
Tunaombea amani na utulivu viendelee kutawal kwa wakati huu, wakati wa matokeo kutangazwa na daima, lakini zaidi tunaomba hai yako ikatendeke katika uchaguzi huu ili kile watakacho watanzania kitimie.
Tunaomba heri zako ee baba yetu. AMENI.
Wote tuitike Aaaamin.
Mungu sasa tunaingia pale haswa kenye kiini cha kampwni hizi, kuwachagua viongozi wa nchi yetu tukufu uliyotupa. Tunakusihi utupe zaidi utashi wa kisiasa hata kwa wakati huu uliobaki ili tukamchague kiongozi yule ambae ni bora na anaekupendezq wewe kwani tunajua kama akiwa mapenzi yako basi nasi kwetu atatufaa sana.
Tunaombea amani na utulivu viendelee kutawal kwa wakati huu, wakati wa matokeo kutangazwa na daima, lakini zaidi tunaomba hai yako ikatendeke katika uchaguzi huu ili kile watakacho watanzania kitimie.
Tunaomba heri zako ee baba yetu. AMENI.
Wote tuitike Aaaamin.