Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 22,486
- 33,036
Tareek,Maktaba inayoishi.
Ishi sana Mzee wetu.
Yoda,Tanganyika isiyo na Udini inapendeza sana.
Unazzungumziaje BAKWATA je ni mkonbozi na msimamizi sahihi WA waisilanu na uisliam kwanini WENGI hawakubali baraza hiloYoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.
Mwalimu Nyerere akienda kwnye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.
Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.
Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?
Unazzungumziaje BAKWATA je ni mkonbozi na msimamizi sahihi WA waisilanu na uisliam kwanini WENGI hawakubali baraza hilo
Mzee mwamedi weka andiko si unajua mambo ya record ni RAHISI Kwa text hasa HIZI mb na kizazi kijacho
Kumbukizi ya Wazee wa Vuguvugu la Uhuru wa TanganyikaTanganyika isiyo na Udini inapendeza sana.
OgaBoy,Mzee mwamedi weka andiko si unajua mambo ya record ni RAHISI Kwa text hasa HIZI mb na kizazi kijacho
Nyerere mkatoliki aliufifisha sana udini Tanganyika kwa kuwa mwanachama mzuri wa madrasa na msikitini pamoja na kuvaa baraghashia.Yoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.
Mwalimu Nyerere akienda kwenye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.
Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.
Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?
Naomba picha ya wazee walioandika katiba ya kwanza ya nchi.Kumbukizi ya Wazee wa Vuguvugu la Uhuru wa Tanganyika
View attachment 3568126
Wazee hawa walikuwa sehemu ya msingi ya vuguvugu la kusaka uhuru. Kutoka kulia waliosimama:
1. Abdallah Shomari (Tandamti no. 3 )
2. Nassoro Kalumbanya (Simba str.)
3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.)
5. John Rupia (Misheni kota)
6. Julius Nyerere (Pugu Sekondari)
7. Said Chaurembo (Congo/ Mkunguni str.)
8. Jumbe Tambaza (Upanga)
9. Sheikh Suleiman Takadir (Mafia/Swahili)
10. Dossa Aziz (Mbaruku/Somali kipande)
11. Mshume Kiyate (Tandamti)
12. Juma Sultan (Kitchwele karibu na kanisa dogo)
13. Maalim Shubeti (Masasi/Likoma)
14. Rajab Simba (Kiungani str.)
15. Waziri Mtonga (Kilosa no. 18, Ilala)
16. Mwinjuma Mwinyikambi (Mwananyamala)
17. Maxi Mbwana (Aggrey/Kongo)
18. Usia Omari (Sungwi, Kisarawe)
19. Sheh Issa Nasir (Bagamoyo)
Ni muislamu?SAL DAVIS NA MIMI 2006 - 2026
Katika urafiki wangu na Sal Davis nimeweza kumsikiliza akizungumza maisha yake kuanzia kitongoji cha Makadara, Mombasa (Sasa Prof. Ali Mazrui) alikokulia hadi anapelekwa Manchester akiwa kijana mdogo kusoma shule ya msingi hadi anakuwa mwanamuziki wa sifa wa kimataifa, nimeweza kuandika kitabu cha maisha yake kilichochapwa na Amazon.
Jumatano iliyopita baada ya muda mrefu nimekutana na Sal Davis ambae jana yake alikuwa amesheherekea miaka 85 ya kuzaliwa kwake na tukapiga hiyo picha hapo chini mimi nikiwa nimefikisha miaka 74 mwezi Februari.
View attachment 3568060
View attachment 3568062
Mulata Huyo mbegu za wakoloni.Ni muislamu?
Yoda,Nyerere mkatoliki aliufifisha sana udini Tanganyika kwa kuwa mwanachama mzuri wa madrasa na msikitini pamoja na kuvaa baraghashia.
Yoda,Naomba picha ya wazee walioandika katiba ya kwanza ya nchi.
Babu...Mulata Huyo mbegu za wakoloni.
Huyu mody kasharudi kulekule udini,udini,udini haaminiki huyu.
Unarudi palepale,Babu...
Udini kwa kuandika historia ya kweli ya uhuru wa Tanganyika?
Kwa kuuliza vipi itaandikwa historia ya TANU asitajwe Sheikh Hassan bin Ameir na Sheikh Suleiman Takadir?
Au asitajwe Abdulwahid Sykes aliyeishi na Nyerere nyumbani kwake wakati wa kupigania uhuru?
Kadi ya TANU ya Abdul Sykes ni no 3.
Hawatajwi kwenye historia ya uhuru na ukiuliza unaitwa mdini.
1 - Je ni akina nani wanaouendeleza udini?Yoda,
Mwalimu Nyerere akiungwa mkono na Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.
Mwalimu Nyerere akienda kwenye madras ya Sheikh Hassan bin Ameir ameongozana
na Abdulwahid Sykes na Waziri Dossa Aziz.
Sheikh Hassan bin Ameir akiuza kadi za TANU misikitini.
Hali ilikuwa hivi.
Labda nikuulize huu udini kauleta nani na nini sababu yake?