TBC nao viherehere kweli. Hayo ni matukio tu ya kupangwa ili jiwe lionekane ni jiwe kuu la pembeni. Mbona wakati anakwenda Wazo hawaoneshi.Yupo live tbc.
ziara ya kushtukiza na hayo matangazo ya live TV wameshtukiza. tuwe serious jamani. this well plannedcheap public stunt.
create the problem, then come back in and offer the solution that the people demand.
Jamaa kamkimbia mzungu kweki lugha ya malkia nomaà
MENE MENE TEKELI NA PERESI D.5 25-28Kazi za mawaziri hizo, anaenda Mh Rais, mimi bado nina wasiwasi na watendaji wa hii awamu, sijui kama wanamuelewa Rais. Kwa jinsi ambavyo Rais amekuwa akifuatilia mambo kwa kwenda sehemu husika, nilitegemea kwa kipindi tu hiki cha miaka miwili basi makatibu wakuu, mawaziri wangekuwa wanafuatilia sana mambo haya, lakini toka sakata hili limeanza si waziri wa viwanda, fedha au uchukuzi kuwaona wapo mstari wa mbele kufuatilia hili jambo, sasa leo katoka Rais mwenyewe, na kitu kinarushwa live, jamaani huyu Rais mtaazeesha kwa kufanya kila kazi peke yake!!
Mkombozi kama Yesu vile.TBC nao viherehere kweli. Hayo ni matukio tu ya kupangwa ili jiwe lionekane ni jiwe kuu la pembeni. Mbona wakati anakwenda Wazo hawaoneshi.