Ww achaujinga m4c ilianzishwa kisiasa kwa maslai ya mtu je ippo wapi na ilishia wapi je walionzisha m4c wamekufa ndani ya cdm jb wapo ile ilikuwa kupata kilewalicho taka wakafanikiwa kwa maslai yao sio ya chama
Ukiulizwa utaje hayo maslahi sidhan kama utakuwa na jibu zaidi ya kubwabwaja tu! wote tunajua m4c ilivyotetemesha magamba hadi yakaamua kuhujumu kwa kutumia dola! tulishuhudia mauaji ya raia ili tu kuihujumu,wote tunakumbuka kuwa zoezi la sensa nalo likatumiwa kisiasa kuhujumu oparesheni na hivyo kuvuruga ratiba yake.m4c bado ipo na makamanda wanapiga kazi kwa kwenda mbele!