Sakata la Zakaria Hans Pope na CAG

Sakata la Zakaria Hans Pope na CAG

Mkuu Zacharia Hans Poppe ana Truck zaidi ya 100 Nina kija truck changu kibovu bovu zamani alikuwa ananipatia order ila alipobadilisha utaratibu wa mirage na mafuta kujitegemea nimemkimbia ila hiyo ghorofa na kipato anachopata naona alitakiwa awe Nazi hata 4 Hera nyingi anapoteza Simba
Kaka! Wewe unaonekana kuwa mtaalamu wa mambo ya usafirishaji. Naomba tutafutane tupeane issue
 
Kaka! Wewe unaonekana kuwa mtaalamu wa mambo ya usafirishaji. Naomba tutafutane tupeane issue
Unahitaji ushauri kwenye nini Mkuu mm najua vzr hiyo sekta ya usafirishaji kwa sio chini ya miaka 25 sijui nikusaidie nini Mkuu nipo Mozambique nimefungua kampuni huku lkn ntarudi nyumbani wiki hii unataka nini nikusaidie kakutana nakupa 20% sababu nyinyi ni Tiss
 
?
Daaaa....ila huyu jamaa lile ghorofa analojenga pale Nyumbani kwao Iringa (opposite na hotel ya Mr au mkabala na beki ya CRDB na ofisi za posts mkoa Iringa) , aiseee ni sheeda sidhan kama kwa sasa kuna mjengo kama huo kwa wanyalu aiseee. Boongeee la ghorofa...TRA mchunguzeni tu kwa kina maana siamini kama ni simba na masuala ya usafirishaji yanaweza mpatia Pesa yote hiyo.
?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaaa....ila huyu jamaa lile ghorofa analojenga pale Nyumbani kwao Iringa (opposite na hotel ya Mr au mkabala na beki ya CRDB na ofisi za posts mkoa Iringa) , aiseee ni sheeda sidhan kama kwa sasa kuna mjengo kama huo kwa wanyalu aiseee. Boongeee la ghorofa...TRA mchunguzeni tu kwa kina maana siamini kama ni simba na masuala ya usafirishaji yanaweza mpatia Pesa yote hiyo.
Kutoka Dar to Lusaka kusafirisha mafuta watalipwa cubic metre 1 ni USD 120.sasa Fanya wastaniwastani ujazo 35 mara 120 Mara gari 120
 
Unahitaji ushauri kwenye nini Mkuu mm najua vzr hiyo sekta ya usafirishaji kwa sio chini ya miaka 25 sijui nikusaidie nini Mkuu nipo Mozambique nimefungua kampuni huku lkn ntarudi nyumbani wiki hii unataka nini nikusaidie kakutana nakupa 20% sababu nyinyi ni Tiss
Ukirudi naomba tuonane. Mie pia Nina mpango wa kufungua kampuni kampuni nayokusudia kufungua naamini haitafanya vizuri bila kushirikiana na watu wanaojihusisha na masuala ya usafirishaji. Ukirudi nitafute kwa namba 0765109287

Tuyajenge
 
Ukirudi naomba tuonane. Mie pia Nina mpango wa kufungua kampuni kampuni nayokusudia kufungua naamini haitafanya vizuri bila kushirikiana na watu wanaojihusisha na masuala ya usafirishaji. Ukirudi nitafute kwa namba 0765109287

Tuyajenge
Unahitaji nini kwa mfano Mkuu nikusaidie au nikushauri
 
Ningependa kama tungeongea ana kwa ana au kwa simu
Kaka wewe ni Usalama wa Taifa umetumwa au kitu gani kama unahitaji msaada wangu wa mawazo njoo PM ntakupa ushauri ambao utapata sana faida sisi tunagombana na vijana wa jiwe humu kila siku usitegemee tuonane kiurahisi njoo Pm tuchat
 
Back
Top Bottom