4G LTE
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,777
- 10,533
Si list yenu hiyo... Mbona mnaikana tenaWanatapatapa.
Si list yenu hiyo... Mbona mnaikana tenaWanatapatapa.
Hiyo orodha inaweza kuwa na ukweli maana inaonyesha kulikuwa na upungufu wa kupeleka vyeti, kwa hiyo wapo wengi ambao labda wakati wa uhakiki hawakuwepo nchini ndiyo maana inaonyesha incomplet submiting process. Hapo wanatakiwa wapeleke vyeti vyao halisi sehemu husika ili viweze kuhakikiwa.Kwa hiyo tuache kurukia kuwa alikuwa hana vyeti halisi
Wapelekwe mahakamaniUdom yupo vice chancellor kikula na malecture wake kibao
Hiv tunaweza kupata full list sabab na sisi wengine yamkin tukawepo ndgView attachment 506555
Katika orodha za taasisi mbalimbali ikiwepo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kitengo cha sharia, Waziri wa Sheria Prof.Kabudi ametajwa kuwasilisha vyeti pungufu. Tazama jina na 592
Ushauri: Waziri anatakiwa kujua kusoma na kuandika tu kwa hiyo nashauri afutwe kwenye orodha kwa mujibu wa Sheria na Katiba za Awamu ya Tano.
Vipi MUHAS wakuu? Naona ndio chuo pekee sijaona hizi vitu, am I wrong?
Wapo hapo chek vzurVipi MUHAS wakuu? Naona ndio chuo pekee sijaona hizi vitu, am I wrong?
Huyo si mtumishi wa umma .View attachment 506555
Katika orodha za taasisi mbalimbali ikiwepo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Kitengo cha sharia, Waziri wa Sheria Prof.Kabudi ametajwa kuwasilisha vyeti pungufu. Tazama jina na 592
Ushauri: Waziri anatakiwa kujua kusoma na kuandika tu kwa hiyo nashauri afutwe kwenye orodha kwa mujibu wa Sheria na Katiba za Awamu ya Tano.
Mteule wa rais, kujua kusoma na kuandika tu basi,Huyo si mtumishi wa umma .
Umesoma kwenye orodha jina namba 592 ? Hivi vitu wameweka wenyewe , sisi tumefanya kukodolea macho tuMambo mengi mnajiandikia tu ili mfurahishe baraza!
Hiyo list ya manesi mbona kubwa, huduma hazitazorota?
Hivi ni nini cha pekee alichofanya Katika sheria. Sioni exceptionality yake kama mwanasheria wa kiwango cha prof. Au kila prof anakuwa na sifa ya nguli?Baada ya Makonda kuwataja kwenye madawa sasa mnaanza na Nguli wa sheria kisa tu kamzodoa Lissu Bungeni?
ivi ukisoma certificate ama diploma haupewi cheti, hakuna sehemu imesemwa lazima cheti cha kidato cha 6Inawezekana hakusoma A-Leval. Aliijiunga Chuo Kikuu kwa Sifa nyingine. Mfano; alipomaliza Kidato cha Nne alisoma Certificate na Diploma hatimae kupata Sifa za kujiunga na Chuo.