Hivi ule uchunguzi wa kama huyo binti alifanya udanganyifu kwenye nyaraka zake uliishia wapi? Ilitangazwa kuwa RITA ingefanya uchunguzi juu ya hizo tuhuma
Lakini baada ya hapo sikusikia tena kuhusu hilo jambo hususan baada ya huyo binti kuachia taji lake.Au ndo yaleyale mambo ya 'upepo' na ulishapita huo na watu (Watanzania) kama ilivyo ada yetu tushasahau kabisa.
Mkuu, yule ni mtoto wa mbunge wa ccm. Jibu liko hapo. Angekuwa mtoto wa mbunge wa chama cha upinzani, mambo yangekuwa tofauti. Hii ndio Tanzania yetu kwa sasa.