Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Lili
Lilikuwa swala la mda tu watu wakichoka hawaogopi udictator Wala Nini. Watu wakichoka kukandamizwa wako tayari kujitoa hata mhanga na kuvaa mabomu Kama alshaabab naIo nguvu ya umma sikuiona kwa mwendazake nilikua naogopa nini