Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Sakata la Nape Nnauye na UVCCM

Wakubwa nawashukuru sana kwa mawazo yenu ambayo kimsingi yote nayaheshimu sana kwa ujenzi wa nchi yetu, nakaribisha mawazo zaidi....
Nape
 
Wakubwa nawashukuru sana kwa mawazo yenu ambayo kimsingi yote nayaheshimu sana kwa ujenzi wa nchi yetu, nakaribisha mawazo zaidi....
Nape

...humo humo na wala usitoke CCM mpaka haki ipatikane,ukitoka tuu ndugu yetu watakufanya Mrema...nchi ile na chama chenu cha CCM hakuna haki wala Demokrasi.... kwenye ukweli haki husimama,utashinda tuu maana wengine wataona ukweli ila be ready for a long & difficulty battle!
 
Wakubwa nawashukuru sana kwa mawazo yenu ambayo kimsingi yote nayaheshimu sana kwa ujenzi wa nchi yetu, nakaribisha mawazo zaidi....
Nape

Thanks a lot Nape for joining JF, you made my day. I wish CCM had more people with your attitude. Karibu sana jamvini na tunafurahi kuwa nawe katika kupambana na mafisadi wanaoiangamiza Tanzania. Baki CCM ili ulete mabadiliko ya kweli ndani ya chama hicho.

Najua kuna juhudi kubwa za kutaka kukuchafua ili upoteze umaarufu wako. Kuwa makini mno katika movement zako na siku zote ujue kwamba Watanzania wengi ndani ya CCM, upinzani, na hata tusiokuwa na vyama tunaunga mkono na kufurahia juhudi zako katika mapambano dhidi ya ufisadi. Mungu akupe maisha marefu na akulinde dhidi ya maadui zako.
 
..huyu Nape naye aache kutuzuga hapa.

..huo mradi wa CCM una mahusiano gani na maslahi ya Tanzania kama nchi?

..bado sijamsikia akizungumzia masuala yanayoihusu nchi kwa mfano: mikataba mibovu ya madini, ubinafsishaji unaolitia taifa hasara, sekondari za kata zisizokuwa na waalimu, ukimwi, mauaji ya maalbino, madawa ya kulevya, ujambazi, ukabila, udini etc etc.
 
..huyu Nape naye aache kutuzuga hapa.

..huo mradi wa CCM una mahusiano gani na maslahi ya Tanzania kama nchi?

..bado sijamsikia akizungumzia masuala yanayoihusu nchi kwa mfano: mikataba mibovu ya madini, ubinafsishaji unaolitia taifa hasara, sekondari za kata zisizokuwa na waalimu, ukimwi, mauaji ya maalbino, madawa ya kulevya, ujambazi, ukabila, udini etc etc.

Wewe ndiye uache kutuzuga hapa, UV-CCM kwa sasa hivi ina ishu ya jengo kwanza, sio hayo yako maana UV-CCM, sio serikali ni chama cha vijana wa CCM tu, wa-Tanzania wote sio wanachama wa CCM, wala UV-CCM.
 
FMES,

..wako wanachama wa CCM ambao wameweka maslahi ya nchi mbele na siyo chama chao. mfano wa wanachama ni watu kama Dr.Mwakyembe ktk ile sakata ya richmond.

..sasa kama Nape naye anadai anatetea nchi, basi juu ya huo mgogoro wake wa jengo la UV-CCM, angetueleza msimamo wake kuhusu masuala ya kitaifa.

..mpaka sasa Nape amejikita zaidi ktk masuala ya chama chake CCM.
 
wako wanachama wa CCM ambao wameweka maslahi ya nchi mbele na siyo chama chao. mfano wa wanachama ni watu kama Dr.Mwakyembe ktk ile sakata ya richmond.

..sasa kama Nape naye anadai anatetea nchi, basi juu ya huo mgogoro wake wa jengo la UV-CCM, angetueleza msimamo wake kuhusu masuala ya kitaifa.

..mpaka sasa Nape amejikita zaidi ktk masuala ya chama chake CCM.

??????????????????????
 
FMES,

..wako wanachama wa CCM ambao wameweka maslahi ya nchi mbele na siyo chama chao. mfano wa wanachama ni watu kama Dr.Mwakyembe ktk ile sakata ya richmond.

..sasa kama Nape naye anadai anatetea nchi, basi juu ya huo mgogoro wake wa jengo la UV-CCM, angetueleza msimamo wake kuhusu masuala ya kitaifa.

..mpaka sasa Nape amejikita zaidi ktk masuala ya chama chake CCM.


Nape

can you come and clear the air please

...ndiyohiyo
 
UVCCM ni umoja wa wazee wa CCM au ni umoja wa watu wenye nia ya kukiangamiza chama tawala ? au ni umoja wa watu wenye malengo ya kuja kuongeza migongano ya chama wanachokula au ni umoja wa watoto wa viongozi wa chama tawala kwa malengo ya kulinda tawala za kifalme? nini dira ya UVCCM?
 
JF ya siku hizi inaoza, baadhi ya watu wanachuki sizokuwa na maana. ridiwani ana haki zote kumkampenia babake na yeyote anayemtaka, then watanzania waamue iwe kwa kuchakachua au ukweli, nina maana kwamba, mnataka alale tu ikulu (Hata sidhani kama anakaa ikulu), mwacheni awe huru, kama ni hodari wa kubadilisha upepo wa kisiasa, then anafaa sio tu vile ni Mkikwete, bali ni juhudi zake binafsi. mjinga mtu utakuwa ni wewe ambaye unapigia kura, au unasikiliza ushauri wake, kwa vile ni mtoto wa raisi na wala sio kwa uwezo wake binafsi
 
Hivi kuna ubaya gani hasa kwa mtoto wa Rais kumfanyia kampeni rafiki yake? Ina maana ukishakuwa mtoto wa Rais basi ukae tu nyumbani. Ridhiwani ni mwanasiasa na ana haki ya kufanya siasa ikiwemo kumfanyia kampeni mtu yeyote anayeona anafaa kwa utashi wake. Tuache longolongo zisizo na kichwa wala mkia. I mean what is the exact problem here, are we becoming obsessed with witch hunting?
Nakubaliana na wewe Kaka Mkumbo Ridhiwani ana haki zote za kufanya atakalo. Huyu jamaa amefilisika kisiasa kiakili na kimawazo. Acha wivu usio na msingi hautakusaidia. Kama hupendi chaguo la Ridhiwani kwa nini usianze kampeni za huyo umtakaye?
 
Hivi kuna ubaya gani hasa kwa mtoto wa Rais kumfanyia kampeni rafiki yake? Ina maana ukishakuwa mtoto wa Rais basi ukae tu nyumbani. Ridhiwani ni mwanasiasa na ana haki ya kufanya siasa ikiwemo kumfanyia kampeni mtu yeyote anayeona anafaa kwa utashi wake. Tuache longolongo zisizo na kichwa wala mkia. I mean what is the exact problem here, are we becoming obsessed with witch hunting?

Mkumbo...yawezekana wewe ni mnafiki mkubwa sana..... Ridhiwani ni mwanasiasa wa chama gani.... what leadership position does he posses... mwanasiasa ni nani.... ni mtu yeyote anayetoka tu hadharani na kuongea .... je wewe ni mwanasiasa... prove
 
Mbona amekazania sana siasa baada ya baba yake kuingia ikulu?? Ridhiwani ni mvurugaji.
 
Haikatazwi kwa Riz 1 kuwa mwanasiasa... ila si vyema kutumia kwa nguvu kila analolitaka liwe kwa kuwa tu baba yake ni rais.

Ni matumaini nguvu aliyonayo ni nidhamu ya uoga walionao vijana wa CCM, na roho ya uthubutu kumchallenge.

Baadhi ya waliomchallenge na kuthibitisha ya kuwa hawawezi kutawalika kwa kutumia nguvu za baba ndo tumewaona matokeo yake.

Bashe ni mhanga mzuri wa hili.... Masauni pia...

Hakuwahi kuwa kwenye siasa hapo kabla ... so ametumia nafasi ya baba yake kuwa rais ili nae awe rais wa vijana kwenye UVCC ... ila ukweli HANA UWEZO.

Kwa wengi mnaoona anchofanya ni correct (namaanisha kwa mfumo wa kutumia nguvu za baba yake) mi naona ni kujipendekeza kwa huyo kijana lakini wako wapi wakina KINJEKITILE NGOMBALE MWIRU???
 
Back
Top Bottom