Wakuu katika matukio ya kijamii yaliyoumiza wengi wiki hii basi la huyu mtoto wa Kampala kutaka kuuliwa na yule housegirl shetani ni kubwa zaidi!
Jana tarehe 22 November 2006 ndiyo tulio wengi tumepata taarifa hii, na binafsi nimekutana na wanaume kwa wanawake kadhaa wakisema wametoa machozi!
Usipost comments kwa jazba, fanya profreading kwanza!!! Huu siyo mwaka 2006!!!
Leo kupitia mtandao wa NBC news nimekutana na kauli ya polisi juu ya tukio hili. Ni kwamba prosecutors "waendesha mashtaka" waliomfungulia mashtaka "dhidi ya utesaji" kwa mujibu wa sheria ya kuzuia utesaji " yaani anti_torture act, section 3! Lakini kwa mujibu wa afande ONYANGO, amesema wanafanya hatua za marekebisho ya mashtaka ili iwe " mashtaka dhidi ya kujaribu kuua "
My Take: hivi hawa waendesha mashtaka ni kwanini wanapenda kuweka mianya ya kuwaachilia huru watuhumiwa hata kwenye makosa ya wazi. Hii nimeiona sana hapa Tanzania mfano ni katika kesi ya AFANDE Zombe dhidi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini waliodhaniwa kuwa ni maiambazi, kesi nyingine ni ile ya yule MH Ditopile kuua dereva kwa bastola!
Wakuu huyu housegirl shetani hakuwa na nia ya utesaji bali kuua hivyo mashtaka sahihi ni "dhidi ya kujaribu kuua" nadhani woooote mtaniunga mkono!
Wakuu katika matukio ya kijamii yaliyoumiza wengi wiki hii basi la huyu mtoto wa Kampala kutaka kuuliwa na yule housegirl shetani ni kubwa zaidi!
Jana tarehe 22 November 2006 ndiyo tulio wengi tumepata taarifa hii, na binafsi nimekutana na wanaume kwa wanawake kadhaa wakisema wametoa machozi!
Leo kupitia mtandao wa NBC news nimekutana na kauli ya polisi juu ya tukio hili. Ni kwamba prosecutors "waendesha mashtaka" waliomfungulia mashtaka "dhidi ya utesaji" kwa mujibu wa sheria ya kuzuia utesaji " yaani anti_torture act, section 3! Lakini kwa mujibu wa afande ONYANGO, amesema wanafanya hatua za marekebisho ya mashtaka ili iwe " mashtaka dhidi ya kujaribu kuua "
My Take: hivi hawa waendesha mashtaka ni kwanini wanapenda kuweka mianya ya kuwaachilia huru watuhumiwa hata kwenye makosa ya wazi. Hii nimeiona sana hapa Tanzania ,
Wakuu katika matukio ya kijamii yaliyoumiza wengi wiki hii basi la huyu mtoto wa Kampala kutaka kuuliwa na yule housegirl shetani ni kubwa zaidi!
Jana tarehe 22 November 2006 ndiyo tulio wengi tumepata taarifa hii, na binafsi nimekutana na wanaume kwa wanawake kadhaa wakisema wametoa machozi!
Leo kupitia mtandao wa NBC news nimekutana na kauli ya polisi juu ya tukio hili. Ni kwamba prosecutors "waendesha mashtaka" waliomfungulia mashtaka "dhidi ya utesaji" kwa mujibu wa sheria ya kuzuia utesaji " yaani anti_torture act, section 3! Lakini kwa mujibu wa afande ONYANGO, amesema wanafanya hatua za marekebisho ya mashtaka ili iwe " mashtaka dhidi ya kujaribu kuua "
My Take: hivi hawa waendesha mashtaka ni kwanini wanapenda kuweka mianya ya kuwaachilia huru watuhumiwa hata kwenye makosa ya wazi. Hii nimeiona sana hapa Tanzania mfano ni katika kesi ya AFANDE Zombe dhidi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini waliodhaniwa kuwa ni maiambazi, kesi nyingine ni ile ya yule MH Ditopile kuua dereva kwa bastola!
Wakuu huyu housegirl shetani hakuwa na nia ya utesaji bali kuua hivyo mashtaka sahihi ni "dhidi ya kujaribu kuua" nadhani woooote mtaniunga mkono!
kiongozi nimepata taarifa mda huu mtoto kafariki je ni kweli?! mwenye uthibitisho nahili atujuzeWakuu katika matukio ya kijamii yaliyoumiza wengi wiki hii basi la huyu mtoto wa Kampala kutaka kuuliwa na yule housegirl shetani ni kubwa zaidi!
Jana tarehe 22 November 2006 ndiyo tulio wengi tumepata taarifa hii, na binafsi nimekutana na wanaume kwa wanawake kadhaa wakisema wametoa machozi!
Leo kupitia mtandao wa NBC news nimekutana na kauli ya polisi juu ya tukio hili. Ni kwamba prosecutors "waendesha mashtaka" waliomfungulia mashtaka "dhidi ya utesaji" kwa mujibu wa sheria ya kuzuia utesaji " yaani anti_torture act, section 3! Lakini kwa mujibu wa afande ONYANGO, amesema wanafanya hatua za marekebisho ya mashtaka ili iwe " mashtaka dhidi ya kujaribu kuua "
My Take: hivi hawa waendesha mashtaka ni kwanini wanapenda kuweka mianya ya kuwaachilia huru watuhumiwa hata kwenye makosa ya wazi. Hii nimeiona sana hapa Tanzania mfano ni katika kesi ya AFANDE Zombe dhidi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini waliodhaniwa kuwa ni maiambazi, kesi nyingine ni ile ya yule MH Ditopile kuua dereva kwa bastola!
Wakuu huyu housegirl shetani hakuwa na nia ya utesaji bali kuua hivyo mashtaka sahihi ni "dhidi ya kujaribu kuua" nadhani woooote mtaniunga mkono!
Umesahau.mzee.wa.vijisenti.aliwagonga mabinti kwenye bajaji maeneo ya oysterbay nadhani.alitozwa.fine.sikumbuki.kiasi gani
sasa hapa nini shida? naona wamefanya kama unavopendekeza...yaani mashtaka yameongezwa thamani au uzito kutoka kwenye kutesa mpaka kwenye kujaribu kuua...Wakuu katika matukio ya kijamii yaliyoumiza wengi wiki hii basi la huyu mtoto wa Kampala kutaka kuuliwa na yule housegirl shetani ni kubwa zaidi!
Jana tarehe 22 November 2006 ndiyo tulio wengi tumepata taarifa hii, na binafsi nimekutana na wanaume kwa wanawake kadhaa wakisema wametoa machozi!
Leo kupitia mtandao wa NBC news nimekutana na kauli ya polisi juu ya tukio hili. Ni kwamba prosecutors "waendesha mashtaka" waliomfungulia mashtaka "dhidi ya utesaji" kwa mujibu wa sheria ya kuzuia utesaji " yaani anti_torture act, section 3! Lakini kwa mujibu wa afande ONYANGO, amesema wanafanya hatua za marekebisho ya mashtaka ili iwe " mashtaka dhidi ya kujaribu kuua "
My Take: hivi hawa waendesha mashtaka ni kwanini wanapenda kuweka mianya ya kuwaachilia huru watuhumiwa hata kwenye makosa ya wazi. Hii nimeiona sana hapa Tanzania mfano ni katika kesi ya AFANDE Zombe dhidi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini waliodhaniwa kuwa ni maiambazi, kesi nyingine ni ile ya yule MH Ditopile kuua dereva kwa bastola!
Wakuu huyu housegirl shetani hakuwa na nia ya utesaji bali kuua hivyo mashtaka sahihi ni "dhidi ya kujaribu kuua" nadhani woooote mtaniunga mkono!
acha kupost huku unafumua viroba.
Shida ipo kama polisi hawatafanya amendment kama walivyo propose hapo juu! Kwani hadi sasa jarada lina count moja tu kwenye charge sheet ambayo ni "crime against torture" na sio attempted murder "sasa hapa nini shida? naona wamefanya kama unavopendekeza...yaani mashtaka yameongezwa thamani au uzito kutoka kwenye kutesa mpaka kwenye kujaribu kuua...
hivi bado yuko hai huyo shetani...ila pengine alikuwa anamatatizo ya akili bila wenye mtoto kujua..cozi ingekuwa ni mimi hata mahakamani /polisi nisinge kwenda...ingekuwa ni kesi ya yakuua bila kukusudia...ningem-download mapema sana..kama usemi ule wananchi wenye hasira kali wame.................