MlimaSayuni
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 6,543
- 11,644
Hofu imekuja baada ya jamaa kuvaa picha ya Magufuli
Ccm vopi ? Tuanzie hapa kwa msajili kwanza , vinginevyo ipo siku atakufa mdomo wazi asema BwanaSakata la kupingwa kwa mtiania wa urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina limefika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, huku chama hicho kikitakiwa kutoa maelezo kwa ofisi hiyo kesho Jumatano Agosti 20, 2025.
Mzizi wa hilo, ni barua iliyoandikwa na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala akipinga kupitishwa kwa Mpina kuwa mgombea urais, kwa kile alichosema ni kinyume na kifungu cha 16(1)4)I cha kanuni za kudumu za uendeshaji chama toleo la mwaka 2015.
Kwa mujibu wa kanuni hiyo, mwanachama anayewania nafasi ya urais kupitia chama hicho, anapaswa kuwa mwanachama wa zaidi ya siku saba.
Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Naibu Katibu wa Mawasiliano, Uenezi na Mahusiano kwa Umma wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo amesema hayuko tayari kulizungumzia hilo.
Awali, alitafutwa katibu mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, simu yake iliita bila majimbu. Vivyo hivyo kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Issihaka Mchinjita.
Mpina alijiunga na chama hicho Agosti 5 na Agosti 6, 2025 akapitishwa na mkutano mkuu uliofanyika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam kuwa mtiania wa urais wa chama hicho.
Tayari Mpina amekabidhiwa fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na anaendelea kutafuta wadhamini wasiopungua 200 kila mkoa katika mikoa 10 ikiwemo miwili ya Zanzibar.
Chanzo, Mwananchi
Huyu msajili Malyenge...?
Ukiu
Njaa mbaya sanakwaji Wa Katiba katika vyama anaona Kwenye vyama vya Upinzani tu, CCM haaa!
DuhMsajili ni mvuata bangi mzuri sana
Kaka kajichanganya sana! Alafu ujue nguvu ya mpina sio kubwa sana, hivyo naona amejiaminisha hewa kuwa mpinzani wa sa100, mie Bado namwona kama zile katuni alizosema polepole juzi😁😁Sakata la kupingwa kwa mtiania wa urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina limefika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, huku chama hicho kikitakiwa kutoa maelezo kwa ofisi hiyo kesho Jumatano Agosti 20, 2025.
Mzizi wa hilo, ni barua iliyoandikwa na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala akipinga kupitishwa kwa Mpina kuwa mgombea urais, kwa kile alichosema ni kinyume na kifungu cha 16(1)4)I cha kanuni za kudumu za uendeshaji chama toleo la mwaka 2015.
Kwa mujibu wa kanuni hiyo, mwanachama anayewania nafasi ya urais kupitia chama hicho, anapaswa kuwa mwanachama wa zaidi ya siku saba.
Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Naibu Katibu wa Mawasiliano, Uenezi na Mahusiano kwa Umma wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo amesema hayuko tayari kulizungumzia hilo.
Awali, alitafutwa katibu mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, simu yake iliita bila majimbu. Vivyo hivyo kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Issihaka Mchinjita.
Mpina alijiunga na chama hicho Agosti 5 na Agosti 6, 2025 akapitishwa na mkutano mkuu uliofanyika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam kuwa mtiania wa urais wa chama hicho.
Tayari Mpina amekabidhiwa fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na anaendelea kutafuta wadhamini wasiopungua 200 kila mkoa katika mikoa 10 ikiwemo miwili ya Zanzibar.
Chanzo, Mwananchi
Km kanuni zimekiukwa washughulikiwe kwa mujibu wa katiba yao wenyewe.Sakata la kupingwa kwa mtiania wa urais wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina limefika Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, huku chama hicho kikitakiwa kutoa maelezo kwa ofisi hiyo kesho Jumatano Agosti 20, 2025.
Mzizi wa hilo, ni barua iliyoandikwa na Katibu Mwenezi wa ACT Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala akipinga kupitishwa kwa Mpina kuwa mgombea urais, kwa kile alichosema ni kinyume na kifungu cha 16(1)4)I cha kanuni za kudumu za uendeshaji chama toleo la mwaka 2015.
Kwa mujibu wa kanuni hiyo, mwanachama anayewania nafasi ya urais kupitia chama hicho, anapaswa kuwa mwanachama wa zaidi ya siku saba.
Alipotafutwa kuzungumzia hilo, Naibu Katibu wa Mawasiliano, Uenezi na Mahusiano kwa Umma wa ACT Wazalendo, Shangwe Ayo amesema hayuko tayari kulizungumzia hilo.
Awali, alitafutwa katibu mkuu wa chama hicho, Ado Shaibu, simu yake iliita bila majimbu. Vivyo hivyo kwa Makamu Mwenyekiti wa chama hicho bara, Issihaka Mchinjita.
Mpina alijiunga na chama hicho Agosti 5 na Agosti 6, 2025 akapitishwa na mkutano mkuu uliofanyika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam kuwa mtiania wa urais wa chama hicho.
Tayari Mpina amekabidhiwa fomu ya kuomba kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na anaendelea kutafuta wadhamini wasiopungua 200 kila mkoa katika mikoa 10 ikiwemo miwili ya Zanzibar.
Chanzo, Mwananchi
Acha ukanda we mpumbavu, hakuna kt kinaitwa kanda ya ziwa, acha ushamba we mbwa kokoCcm kura nyingi za Kanda ya ziwa watakuwa wajinga kuzipoteza
unakatikiwa wewe , huwezi uelewa nachosema nachosema hebu kafute makohozi aliyokuachia mumeoAcha ukanda we mpumbavu, hakuna kt kinaitwa kanda ya ziwa, acha ushamba we mbwa koko