Sakata la Mchungaji Peter Msigwa na siasa ngumu za upinzani Tanzania

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,597
46,224
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.
 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.

..mbona juzi Msigwa amegombana na Dr.Slaa akiitetea Chadema, sasa hizi habari kwamba yuko kinyume na chama chake zinatoka wapi?

..hata hiyo statement yake kuhusu Royal Tour mbona Msigwa ameunga mkono zaidi hoja za wakosoaji kuliko waungamkono?
 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.
Acheni Upotoshaji Msigwa hawezi kukosana na Wenzake kisa Filamu ya Utalii kwani ina Tija gani kwa Chadema
 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.

Kweli chadema Ni kisima Cha siasa wote hao bado kina zitto Kabwe, Mhonga ruhanywa, etc
 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.

Acheni kulazimisha fujo. Mnaquotisha mtu na kudai ameonge yeye.
 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazoMsigww
Msigwa na Mnyika walifika bei toka wakati wa Magufuli, ndio maana kwa sasa kila Msigwa akitofautiana na wenzake anasema haogopi kufukuzwa chama kwa mtazamo wake. Amefikia mpaka mahali anasema anajua atafukuzwa chama kutokana na kuwa na mtazamo tofauti. Ni kama anatoa maoni tofauti ili afukuzwe isionekane kaondoka kufuata maslahi bali kafukuzwa. Na cdm wakitaka kumpatia wasimfukuze ili aondoke mwenyewe.
 
..mbona juzi Msigwa amegombana na Dr.Slaa akiitetea Chadema, sasa hizi habari kwamba yuko kinyume na chama chake zinatoka wapi?

..hata hiyo statement yake kuhusu Royal Tour mbona Msigwa ameunga mkono zaidi hoja za wakosoaji kuliko waungamkono?
Kuna wadau wametanguliza mashambulizi...

IMG_20220429_191956.jpg
IMG_20220429_192119.jpg
IMG_20220429_192147.jpg
 
Msigwa na Mnyika walifika bei toka wakati wa Magufuli, ndio maana kwa sasa kila Msigwa akitofautiana na wenzake anasema haogopi kufukuzwa chama kwa mtazamo wake. Amefikia mpaka mahali anasema anajua atafukuzwa chama kutokana na kuwa na mtazamo tofauti. Ni kama anatoa maoni tofauti ili afukuzwe isionekane kaondoka kufuata maslahi bali kafukuzwa. Na cdm wakitaka kumpatia wasimfukuze ili aondoke mwenyewe.
Sidhani Kama tunapaswa kushikiria Upinzani kisa ni Upinzani jina kana kwamba ni kabila, kama mtu mlikuwa tunapinga Au tunashauri jambo fulani likifanyika tukosoe jinsi lilivyotatuliwa wala si kukosoa jambo lenyewe!!
 
Msigwa na Mnyika walifika bei toka wakati wa Magufuli, ndio maana kwa sasa kila Msigwa akitofautiana na wenzake anasema haogopi kufukuzwa chama kwa mtazamo wake. Amefikia mpaka mahali anasema anajua atafukuzwa chama kutokana na kuwa na mtazamo tofauti. Ni kama anatoa maoni tofauti ili afukuzwe isionekane kaondoka kufuata maslahi bali kafukuzwa. Na cdm wakitaka kumpatia wasimfukuze ili aondoke mwenyewe.
Mpaka John Mnyika sio???
 
Hakuna tatizo kwa Msigwa kutoa maoni tofauti na wenzake katika jambo lisilokuwa na msimamo wa kichama, tatizo liko katika yeye kutaka kuoneka "victim" kwa kutoa maoni tofauti na wenzake wengi.
..maelezo ya Msigwa haya hapa.

..sijaona tatizo lolote ktk alichokisema.

..nahisi propaganda za Ccm zimetangulia ukweli kuhusu alichokisema Msigwa.

 
Sakata linaloendelea la Msigwa kuwa tofauti na wenzake ndani ya CHADEMA lina kila dalali yuko njiani kubwaga manyanga na kujiunga kwenye orodha hii ndefu;

1.Dr. Slaa
2.Davidi Kafulila
3.Mwita Waitara
4.Julius Mtatiro
5.Vincent Mashinji
5.Joshua Nassari
6.Halima Mdee na wenzake 19
7.Petrobus Katambi
8.Pauline Gekul
9.Profesa Abdallah Safari
10.David Silinde
11.Kalist Lazaro
12.Abdallah Mtolea
13.Cecil Mwambe
14.Julius Kalanga
15.Godwin Molel
16.Kitila Mkumbo
18.Anna Mghuwira
19.Maulid Mtulia
20.James Ole Millya
21....
22..

Hawa ni baadhi tu ya waliokuwa wapinzani waandamizi kwenye vyama vya upinzani au bungeni, machachari na wajenga hoja wazuri haswa lakini mwishowe walitandika daruga kusaka fursa upande wa pili. Hii ni kuanzia 2016 mpaka mwaka huu tu.

Siasa za upinzani kwenye nchi hii nzuri ni ngumu, chungu na zenye maslahi kiduchu sana kwa walio mstari wa mbele. Zinahitaji moyo mkuu kudumu nazo, wachache historia itawakumbuka nazo.
Kaburou
Zitto
Mtetemelwa
Babanga
etc
 
Tupate wagombea huru tu, mambo ya vyama yanapelekea kutokuwa na fikra huru bali fikra za Chama...,
Hili tunalishabikia tu la mgomvea binafsi, halina tija!

Tutatengeneza jamii isiyo na adabu, miuko wala utaratibu...kila mtu awe ni serikali yake kama nyumbani kwake?...
 
Back
Top Bottom