Alilipiwa kila kitu kilichopo kwenye mkataba. Ndio maana Yanga wakajaribu kuleta utetezi wa mishahara 3 ya mwisho. Zilipoletwa risiti za mishahara kutoka CRDB ikabidi wakiri kwamba walimsajili Kessy akiwa na valid contract na Simba. Suala hili lisingefika huku kama Yanga wangewasiliana na Simba kwani mkataba ulibakiza siku 5.Lakini ujinga wa viongozi waliopewa jukumu hilo ndio haya tunayojaona leo.