Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,504
MCC imeitaka Tanzania kukaa chini na kuangalia ni hatua gani za kuridhisha inaweza kuchukua ambazo zitapelekea MMC Board iweze kurejesha fedha za msaada zilizozuiliwa.
Msemaji wa Shirika hilo bibie Renee Kelly amesema kama hatua hizo za serikali ya Tanzania itakazochukua zitakuwa za kuridhisha basi watarejesha pesa hizo bila tatizo.
“The Government of Tanzania needs to determine how it will rectify the specific issues of concern,”
“It is up to MCC’s Board to determine if any such actions taken by the Government of Tanzania are sufficient to warrant re-instatement.”
Msemaji huyo alipohojiwa kama suala la Zanzibar kurudia uchaguzi ndilo litakalosababisha pesa hizo kurudishwa Mwanamama huyo alikataa kusemea swala hilo, ila akasisitiza kuwa sio kazi ya MCC kuamua nini cha kurekebisha, ila ni kazi ya serikali ya Tanzania kuamua nini cha kurekebisha.
"MCC does not provide checklists,” akimaanisha MCC haikuamulii nini cha kurekebisha.
Naona kuna kitu kilikuwa kinatafutwa zaidi ya hili suala la uchaguzi wa Zanzibar, Ishu ya Zanzibar inaanza kupotezewa mdogo mdogo, sasa naanza kumuelewa Waziri aliposema watanzania msiwe na wasiwasi hakitaharibika kitu, hawa jamaa tutaelewana nao tu mbele ya safari na pesa wataachia.
Source:http://www.nation.co.ke/news/africa...mption/-/1066/3143796/-/117wu69z/-/index.htmlhttp://www.thecitizen.co.tz/News/Ac...told/-/1840340/3144236/-/rsb7l3z/-/index.html
Msemaji wa Shirika hilo bibie Renee Kelly amesema kama hatua hizo za serikali ya Tanzania itakazochukua zitakuwa za kuridhisha basi watarejesha pesa hizo bila tatizo.
“The Government of Tanzania needs to determine how it will rectify the specific issues of concern,”
“It is up to MCC’s Board to determine if any such actions taken by the Government of Tanzania are sufficient to warrant re-instatement.”
Msemaji huyo alipohojiwa kama suala la Zanzibar kurudia uchaguzi ndilo litakalosababisha pesa hizo kurudishwa Mwanamama huyo alikataa kusemea swala hilo, ila akasisitiza kuwa sio kazi ya MCC kuamua nini cha kurekebisha, ila ni kazi ya serikali ya Tanzania kuamua nini cha kurekebisha.
"MCC does not provide checklists,” akimaanisha MCC haikuamulii nini cha kurekebisha.
Naona kuna kitu kilikuwa kinatafutwa zaidi ya hili suala la uchaguzi wa Zanzibar, Ishu ya Zanzibar inaanza kupotezewa mdogo mdogo, sasa naanza kumuelewa Waziri aliposema watanzania msiwe na wasiwasi hakitaharibika kitu, hawa jamaa tutaelewana nao tu mbele ya safari na pesa wataachia.
Source:http://www.nation.co.ke/news/africa...mption/-/1066/3143796/-/117wu69z/-/index.htmlhttp://www.thecitizen.co.tz/News/Ac...told/-/1840340/3144236/-/rsb7l3z/-/index.html