Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Habari hii ni kwa mujibu wa tweet ya Ado Shaibu wa ACT-Wazalendo
@ AdoShaibu 39m
Tunafahamu: 1. Mbunge wa Kigoma Kusini Hasna Mwilima ameandika kwa Spika kutaka hoja binafsi ili Bunge liunde Kamati Teule kuchunguza mauaji ya Mpeta. 2. Spika amempeleka kwa PM ili wayazungumze kusiwe na hoja. 3. Safari ya Kangi Lugola ni kuzima hoja ya Kamati Teule.
@ AdoShaibu 39m
Tunafahamu: 1. Mbunge wa Kigoma Kusini Hasna Mwilima ameandika kwa Spika kutaka hoja binafsi ili Bunge liunde Kamati Teule kuchunguza mauaji ya Mpeta. 2. Spika amempeleka kwa PM ili wayazungumze kusiwe na hoja. 3. Safari ya Kangi Lugola ni kuzima hoja ya Kamati Teule.