Nkuba25
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,269
- 12,500
Sio tu mkuu wa nchi alikuwa Muislam mwenzao, hadi mkuu wa mahakama (jaji mkuu) alikuwa ni muislam mwenzao tena wenye kukaa mabaraza ya IDD pamoja. Halafu wakitoka hapo wanaenda kuwasokomeza mavijiti maulamaa wenzao.
Sasa watakuja hapa kina Mohammed Said na kina FaizaFoxy na ngonjera zao za "mfumo kristo"
Sasa watakuja hapa kina Mohammed Said na kina FaizaFoxy na ngonjera zao za "mfumo kristo"