Serious?when,who and why?Pale ndiyo nilifahamu maana ya jeuri ya pesa.
Serious?when,who and why?Pale ndiyo nilifahamu maana ya jeuri ya pesa.
Hii mambo ipoje?Aisee! na pale ilidhihirisha ukatili wa mwanamke, yule mwanamke kweli Mungu anamuona.
Kuna wakati wa tz wenzangu wanashangaza sana mtu kutajwa Kwenye kamati bado hajawa mkosaji kama alifuata sheria ilivyoelekeza anakosa gani?Ni swali valid kabisa.
Mi nahisi anajua kwamba wanajua kila kitu halafu wanataka kumchosha!
Aeleze na suala container terminal ya bandarini ana hisa ngapiKuna sheria inayoruhusu waziri kubeba mihuri ya ofisi na kwenda kusaini mikataba hotelini mjini London Uingereza?
Je ni kweli hajui asaidie nini kwa mjibu mapendekezo ya kamati ya pili na maamuzi ya Rais.......
Je ni kweli hajui asaidie nini kwa mjibu mapendekezo ya kamati ya pili na maamuzi ya Rais.......
Kabisa unatetea huyo mtu bila kujua anatakiwa kusaidia nini? Huu mwezi ulivyo n.a. amani kumbe unakuchanganyaNi swali valid kabisa.
Kwahiyooo kamaa nikulipwa tutalipwa kutokana na mkataba wenyewe wa mrahaba wa 4%Ni sahihi kabisa. Mbona hata Ngeleja jana alisema, kila kitu walikua wanafanya kwa mujibu wa sheria!.
Kamaa maagizo kutoka juu yalimruhusu kuna shida gan? Muhurii unagongewaa tuu popote masalani wazeee wamekubalianaKuna sheria inayoruhusu waziri kubeba mihuri ya ofisi na kwenda kusaini mikataba hotelini mjini London Uingereza?
Haahaaaaa...umenifanya nicheke..utani tena?! wenzako walirudi nyumbani na maua yao na chakula cha pongezi kwa wife nadhani siku hiyo kililiwa na mbwa wao tu.Acha utani
omba ruhusa akapewa na mlinzi wake getini ofisiniKuna sheria inayoruhusu waziri kubeba mihuri ya ofisi na kwenda kusaini mikataba hotelini mjini London Uingereza?