SAKATA LA MADINI: Karamagi ahoji, nisaidie nini ?

Wale jamaa ni washenzi, wanaweza kukupa offer ya kukusomeshea mtoto university ulaya kumbe wameshapiga hesabu itakuwa £30,000 na watapata £300,000 kutoka kwako
Au wanampa mwanao nafasi ya juu kwenye kampuni ili kuonyesha ushirikiano kwako, halafu mshahara $10000-20000.
 
Tena huyu KARAMAGI ndio hafai kabisa kapora ardhi ya wananchi Ndani ya wilaya yetu ya KILOSA tena katikati mji mdogo akijiita mwekezaji wa shamba, watu wanajiuliza kuna sheria ipi inaruhusu ndani ya mji mdogo kuwa na shamba? Anacholima hakijulikani!! Analima mbaazi wakati zamani(mkolon) lilikuwa mashamba ya mkonge yenye kutoa ajira na tija kwa taifa... Mikataba yake haieleweki. Tena eneo hili linachukua robo ya eneo la wilaya yy alinunua kwa sh. Million 500 tu... Cha ajabu hata wazir wa ardhi anamuogopa balaa huyu jamaa akija kwenye ziara anaishia pembenzoni mwa wilaya hapa central KILOSA hanusi pua yake... Mimi mzalendo wa Tanzania ila nashawishika sana na wimbo wa Young Dee "bongo bahati mbaya" kwa jinsi nchi ilivyo.
 
Kwa hiyo na ninyi watanzania mmemwamini huyo mzee wnu kwamba alikuwa hajui kwamba tunaibiwa kwenye madini? Kwa kawaida huwezi kufanyia utafiti kitu ambacho hukijui kabisa kabisa. Jambo la kiutafiti hujulikana ila unaweza kutojua chanzo chake na njia za kuondokana nacho. Wakati mikataba mingi ya madini inaingiwa huyu Malaika wetu alikuwa kwenye baraza la mawaziri, na kila kitu hupitishwa na baraza la mawaziri ndipo lianze kutekelezwa. Ni udanganyifu mkubwa kusema alikuwa hajui kitu. Yeye pia alipiga kura ya kuwafukuza wapinzani bungeni kwa kuhoji manufaa ya mikataba hii ya madini. Juzi pia Mnyika alitolewa kwa nguvu bungeni kwa kuhoji ni kwa nini tunalilia na kuzuia mabaki badala ya kulilia na kuzuia usafirishaji wa dhahabu yenyewe?
 
i asaidie kujibu maswali watakayo muhoji?
Kwa mfano:-
Ilikuwaje akasaini mikataba nje ya nchi,Je mamlaka yake ya uwaziri iliruhusu kufanya hivyo,na Je ni nani alimpa mamlaka ya kufanya hivyo?

Je alisoma vizuri vipengele vya mikataba kabla ya kusaini?

Je ikibainika ya kuwa alishiriki kuipunja nchi thamani halisi ya mkataba aliyosaini na kuonekana alipewa rushwa,nini kifanyike?

Anyway pengine maswali yanaweza yasiwe kama haya,lakini ni vyema kuonesha ushirikiano.
Mkuu rejea kwenye kesi ya akina Mramba ukijiridhisha,hutataka kuendelea na haya maswali yako.Tusijishughulishe sanaa na mkia wakati kichwa kipo turekebishe hii katiba na kichwa kijibu maswali yako,vinginevyo Mramba mwisho wa siku alisema sio yeye ni Mkapa kesi kwisha.Raisi mstaafu hashitakiwi kwa makosa aliyoyafanya wakati akiwa raisi.haya tuendelee kucheza mdumange.
 
Si asaidie kujibu maswali watakayo muhoji?
Kwa mfano:-
Ilikuwaje akasaini mikataba nje ya nchi,Je mamlaka yake ya uwaziri iliruhusu kufanya hivyo,na Je ni nani alimpa mamlaka ya kufanya hivyo?

Je alisoma vizuri vipengele vya mikataba kabla ya kusaini?

Je ikibainika ya kuwa alishiriki kuipunja nchi thamani halisi ya mkataba aliyosaini na kuonekana alipewa rushwa,nini kifanyike?

Anyway pengine maswali yanaweza yasiwe kama haya,lakini ni vyema kuonesha ushirikiano.
Ataonewa bure huyo mzee! kwani alikuwa chini ya nani wakati anaenda kusaini mikataba nje? je kiongozi mkuu wa wakati huo alikuwa na habari?
Anyway kusainia mikataba nje siyo issue mbona huwa tunasainisha mikataba mingi na wageni wanao tutembelea wakiwa hapa kwetu!!! kwao wao si wako nje ya nchi yao? au mnataka kusainiwa kwa mkataba watu wakutanie wapi? kwasababu kila nchi wakitaka mikataba isainiwe ndani ya nchi itakuwaje kama hakuta kuwa na upande mmoja wapo utakao ifuata nchi nyingine? au kwa bluetooth!!
swala ni kutokuwepo kwa umakini katika kusaini mikataba hiyo (content) ama kuwa na person gain ndani ya makubaliano!!!!
Sitegemei yeyote kuwajibishwa katika hili kama miongoni mwao kunawengine wanakinga basi tusitegemeee maajabu! labda baadhi wafanywe mbuzi wa kafara then baadae wapewe kifungo cha kufagia barabara za mwendokasi mwisho wa siku warudi tu nyumbani!
 
Tena huyu KARAMAGI ndio hafai kabisa kapora ardhi ya wananchi Ndani ya wilaya yetu ya KILOSA tena katikati mji mdogo akijiita mwekezaji wa shamba, watu wanajiuliza kuna sheria ipi inaruhusu ndani ya mji mdogo kuwa na shamba? Anacholima hakijulikani!! Analima mbaazi wakati zamani(mkolon) lilikuwa mashamba ya mkonge yenye kutoa ajira na tija kwa taifa... Mikataba yake haieleweki. Tena eneo hili linachukua robo ya eneo la wilaya yy alinunua kwa sh. Million 500 tu... Cha ajabu hata wazir wa ardhi anamuogopa balaa huyu jamaa akija kwenye ziara anaishia pembenzoni mwa wilaya hapa central KILOSA hanusi pua yake... Mimi mzalendo wa Tanzania ila nashawishika sana na wimbo wa Young Dee "bongo bahati mbaya" kwa jinsi nchi ilivyo.
Kwa jeuri aliyoonyesha kwa Magufuli huenda ukatikiswa.

Jana wakuu wa mikoa wamepewa maagizo ikulu kuwa ardhi yote ambayo inamilikiwa na wachache na haiendelezwi inyang'anywe wapewe wananchi.

Sasa naunganisha data, kwamba huenda walengwa wakuu ni pamoja na huyo Karamagi.
 
Ata Mwenyekiti wangu wa Yanga, Manji alikua mkali lakini kwasasa namuonea huruma.
 
Kuna moja umesahau. Je, ulipataje pesa inayoonekana katika Account yako?
Rejea nilichoandika Mkuu.
After all wataouliza/hoji sio sisi ni mamlaka zilipewa majukumu hayo.
Sisi hapa ni kubeti tu,sasa kama unabeti kuwa akaunti yangu INA pesa ya karamagi well and good,let us see.
 
Je ni kweli hajui asaidie nini kwa mjibu mapendekezo ya kamati ya pili na maamuzi ya Rais.......
f096deae033eb33ad3eaf97795352c4c.jpg

d3f99910c97c1e2dacd4ae9d2b75974c.jpg
Mwache atese nchi ya wagagagigikoko
 
Hao ndio wahaya na hizo ndio Tabia zao wakiwa na hela
Hiyo si lugha nzuri - kuwa mstarabu, kwani lugha za akina chenge ni zipi???

Lugha za akina LISSU ni zipi???

Lugha za akina Saitoti ni zipi

Acha kufananisha anachouliza karamagi na kabila la wahaya!!!
 
Back
Top Bottom