Sakata la mabehewa mabovu: Vigogo wa TRL kufikishwa Mahakamani

mikatabafeki

JF-Expert Member
Dec 29, 2010
12,772
4,642
Lile sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu sasa limefika pahala pake ambapo katibu mkuu wizara ya uchukuzi ndugu. Shaban Mwinjaka kuagiza wahusika wote wafikishwe mahakamani haraka iwezekanavyo kwa upotevu huo wa rasilimali za umma.

Chanzo: Azam News

My take: Je, yule waziri husika anakwepa hili?
 
Tumbua Jipu baba tumbuaaaa hahaaaaaaa kalanga photo pyaaaaa Kula tigo hahahaaaaa.
 
wakati wapinzani wamelisema hilo la mabehewa kuna ma ccm yalibisha mpaka mapovu yakawatoka. Mwakyembe awajibishwe
 
Lile sakata la ununuzi wa mabehewa mabovu sasa limefika pahala pake ambapo katibu mkuu wizara ya uchukuzi ndugu. Shaban Mwinjaka kuagiza wahusika wote wafikishwe mahakami haraka iwezekanavyo kwa upotevu huo wa rasilimali za umma.

Source:Azam News.

Mytake: je yule waziri husika anakwepa hili?
vichwa vya tren na ujenzi wa bandari ya dar alipiga ndefu akanunua eneo kuuubwa bahari beach
 
Kila mtendaji aliyehusika na sakata hili ashugulikiwe kulingana na sheria inavyotaka. Nadhani waziri mhusika angeisaidia polisi katika upelelezi wa ununuzi wa mabehewa yaliyotutia aibu kama taifa
 
Kipalo kisamfu,muhandisi mkuu,meneja ununuzi ndio walionunua,tena walilipa 100% kabla ya mzigo kufika.mwakyembe hayupo kabisa humo,,team lowassa mmekua kama sungura sasa
 
Kila mtendaji aliyehusika na sakata hili ashugulikiwe kulingana na sheria inavyotaka. Nadhani waziri mhusika angeisaidia polisi katika upelelezi wa ununuzi wa mabehewa yaliyotutia aibu kama taifa

Talalalaa ni ile ile, eee ni ile ileeeee
Kulindana ni kule kule , eee ni kule kulee!!!

Mwanyembe haendi kotini ng'oooo!
 
Kipalo kisamfu,muhandisi mkuu,meneja ununuzi ndio walionunua,tena walilipa 100% kabla ya mzigo kufika.mwakyembe hayupo kabisa humo,,team lowassa mmekua kama sungura sasa

Mimi nadhani suala la mabehewa feki ni suala la kitaifa na si vyama
 
Back
Top Bottom