dlamini
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 368
- 119
hauamini? cdm ni chaguo la wengi we mamluki.
Wewe ni usiku wa giza; huji utokako wala uendako! Mtakesha sana humu JF, MTAANDAMANA SANA, MTATUKANA SANA, MTAFANYA FUJO SANA, MTATEKA WAANDISHI WA HABARI SANA, LAKINI IKULU MTAISIKIA REDIONI TU NA KWENYE TV. LABDA BAADA YA MIAKA 500 NDIO MTACHUKUA NCHI NA MAGWANDA YENU HAYO ILI MUWEZE KUJINEEMESHA NA KUIJENGA VIZURI KILIMANJARO. Hamuwezi kushinda Urais wa TZ bila kura za Zanzibar kama sehemu ya Muungano; na siioni CHADEMA Zanzibar mieeeeeh!