MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,584
- 30,053
HaujulikaniMi pia siitaki
HaujulikaniMi pia siitaki
Tumia ubungo kidogo. Unapewa kwa namba yako ambayo imesajiliwa kwa jina lako na siyo ya mtu mwingine.huo ni utaratibu hadi kwenye benkiWe ndezi muamala sio siri na wakati wowote hata wewwe unaweza kuomba na ukapewa
Mtenda akitendewaVoda wanakatisha tamaa sasa
HahahahaHabib Mchange umepatia, Chadema ni chama kinachoongoza kwa unafiki duniani.
Kwao hata Chenge, Lugumi wakihamia chadema watapewa utakaso wa hali ya juu kwa sababu watakuwa wamejiunga na saccos .
Badala ya kuitwa mafisadi Papa, wataitwa waleta mabadiliko.
Walipewa au voda walikausha to...Lakini watu muache unafki wakati watch 8 amepotea Lissu na.genge lake.walikuja na namba 07.......ambayo ni namba ya voda na mkasema mnaomba voda wawape ushirikiano kuonyesha kuwa ni ya nani na ndio ilomtisha Watch 8 last tym na hata GJ Malisa alivyokuja na genge lake la wahuni nae alisema wameomba taarifa za simu ya Watch 8 kwenye mitandao ukiwemo voda sasa tuwe patient hata mahakama imeomba taarifa kama CHADEMA walivyoomba taarifa so conclusion *Kunyweni maji wanangu*
Babaake ni sheikhHabibu Mchange unataka kuitetea kampuni ya vodacom wakati hauna line ya mtandao husika.Acha ukike wenza kama umestaafu siasa nenda kasuke mikeka kijijini.
Hama mwenyewe na familia yako mkuu mi sina hata no yakoTuhameni Mimi nimeshaanza kuhama polepole siweki mb voda kwanza nikidogo kuliko mitandao mingine