Tuondolee ujinga !Tuhameni Mimi nimeshaanza kuhama polepole siweki mb voda kwanza nikidogo kuliko mitandao mingine
Tuondolee ujinga !Tuhameni Mimi nimeshaanza kuhama polepole siweki mb voda kwanza nikidogo kuliko mitandao mingine
Swali : Mchange hela za kuhonga alizitoa wapi ?Kwa maelezo yako basi Vodacom hawaaminiki kabisa.Kama waliweza kumpa Lema mawasiliano yako ya kifedha na watu wako basi hawastahili kuaminiwa.Tunashukuru kwa kutufungua macho kama ni kweli lakini!Maana "dini" nyingine zinaruhusu waumini wake kusema uwongo na uongo huo hubarikiwa.