Sakata la Korosho, dola iache wizi wa kimachomacho

Mheikungu

JF-Expert Member
Oct 15, 2018
214
448
Kwa muda sasa tumeshuhudia sarakasi na matamko mengi tangu serikali iamue kuingia kichwakichwa kwenye biashara ya korosho.

Matamko ya kila siku yenye kumkatisha tamaa mkulima. Hivi mnanunua korosho ama mnatathmini mashamba? Acheni kuwaumiza wakulima. Wakati mnanunua mahindi mwaka jana mlikagua mashamba? Acheni hizo banaaaa
 

Attachments

  • Screenshot_20181210-094326.png
    Screenshot_20181210-094326.png
    17.6 KB · Views: 19
Bora wakulima tungekubali ile bei ya 2700 ingekuwa saivi tunakula zetu bia na mbuzi wetu.

Lakini waswahili wanasema ukiona giza totoro. Jua ndo alfajiri inaingia.

Wanakusini nadhani saivi wataweza kupambanus baina ya giza la manane na alfajiri ya kweli.

Mliompigia kura wanakusini anawapenda sana ndio mana kajitoa kununua korosho zetu wana kusini.

Nadhani wanakusini tumeona namna ambavyo serikali inajali wakulima kwa kuingia ngoma ya kuinunua korosho yetu.

NAWATAKIA UCHAGUZI MWEMA WANA KUSINI 2020.
 
Kwa muda sasa tumeshuhudia sarakasi na matamko mengi tangu serikali iamue kuingia kichwakichwa kwenye biashara ya korosho.

Matamko ya kila siku yenye kumkatisha tamaa mkulima. Hivi mnanunua korosho ama mnatathmini mashamba? Acheni kuwaumiza wakulima. Wakati mnanunua mahindi mwaka jana mlikagua mashamba? Acheni hizo banaaaa
Sikufichi wala si mkulima alieacha korosho! mi mwenyewe juzi tu nimeongea na mtu mmoja toka Mtwara amenihakikishia watu wanalipwa lakini ni wale wakulima tu lakini watu wengi wenye korosho walinunua kwa Kangomba kwa Tsh 1000 na yeye ni mmoja wao alinunua kwa Tsh 1000 akisubiri serikali lakini sasahivi ameamua kumpa mkulima fulani mwenye shamba ili ziuzwe apate hela na issue iliyo sababisha hivyo kule viongozi karibu wote wa kusini wakiwema wanaotajwatajwa na full baki ya kushoto (Yaani namba 3) wanahusika na ununuzi wa korosho kwa njia ya haramu ili waje kuza ao ndiyo wanawaumiza wakulima.
 
Back
Top Bottom