Sakata la gesi, CUF kufutwa endapo...

Sakata la gesi, CUF kufutwa endapo...

Heavy equipment

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
1,456
Reaction score
1,009
Habari wakuu kuna habari zimezagaa hapa dodoma kuhusiana na sakata la gesi na chama cuf, baadhi ya watu wa karibu na msajili wa vyama vya siasa wanadai '' barua ya mapendekezo ya kukifuta chama cha cuf kwa kuwa kinachochea mgogoro na uvunjifu wa amani maeneo ya lindi na mtwara imetua kwa JOHN TENDWA kwa hatua zaidi'' na hii inathibitisha ndio maana raisi JK kasema hawataogopa hata kama anamapembe maana yake ni ''cuf wako kwenye ndoa na serikali ndio maana ya mapembe'' nawasilisha pale nikapoendelea kupata habari kutoka mnyetishaji
 
huo ubavu wa kufanya hivyo haupo.Serikali dhaifu haiwezi kamwe.
 
Kwa kafu sidhahi ila ingekuwa chadema wangefikiria hivo ila wasingeweza pia!
 
Inafutwa au inapewa talaka? navyokumbuka ni kama CUF na CCM walifunga ndoa ya kiserikali.
Serikali inatafuta jinsi ya kuunganisha saga hili na CDM, kama ulikuwa haujui.
 
CCM itowe talaka kwa mkewe?...basi kama ndio hivo, ccm ni chama komavu,yenye maamzi magumu na busara yao itakuwa imeeanza kurudi
 
Hadi itakapokua taarifa rasmi ndio ntatoa povu, kwa sasa acha nifulie nguo hili povu langu.

Ni sawa na kugombania mapato ya hela ya kuokota kabla hata hamjaokota.
 
Uwezo wa kuifuta CUF hawana kwani mpaka sasa hawana uhakika wa ndoa yao na CUF Zanzibar,na kuifuta CUF inamaanisha kuwa Serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar itakuwa imefikia kikomo na hapo ndio tutaona anguko la CCM Zanzibar na hata Tanzania bara.
 
Kwa serikali hii yakina Masele,tyson,mwigulu,lukuvi,nchimbi,anythin can happen at anytime
 
Habari wakuu kuna habari zimezagaa hapa dodoma kuhusiana na sakata la gesi na chama cuf, baadhi ya watu wa karibu na msajili wa vyama vya siasa wanadai '' barua ya mapendekezo ya kukifuta chama cha cuf kwa kuwa kinachochea mgogoro na uvunjifu wa amani maeneo ya lindi na mtwara imetua kwa JOHN TENDWA kwa hatua zaidi'' na hii inathibitisha ndio maana raisi JK kasema hawataogopa hata kama anamapembe maana yake ni ''cuf wako kwenye ndoa na serikali ndio maana ya mapembe'' nawasilisha pale nikapoendelea kupata habari kutoka mnyetishaji


acha uongo wewe kuwa na mapembe kama jk alivyotumia hilo nenoni hali ya mtu kujiona mzito, mbabe au mwamba either kutokana na umaarufu wake au kukubalika kwake inaweza kua kisiasa, kijamii au kiuchumi. Nadhani hii inaweza kuwa tafsiri nzuri kuliko hiyo ya kwako. Neno kuota mapembe uwa linatumika hata katika familia zetu pale mzazi anapomwambia mtoto wake, " sikuhizi unajifanya umeota mapembe sio". Hapa mzazi hamaanishi yuko kwenye ndoa na mtoto wake, bali anamaanisha mtoto anajifanya amekua na ana kiburi.
 
Hadi itakapokua taarifa rasmi ndio ntatoa povu, kwa sasa acha nifulie nguo hili povu langu.

Ni sawa na kugombania mapato ya hela ya kuokota kabla hata hamjaokota.
Kumbe nawewe sikumojamoja unakuaga na pensamento ai na tua cabeca ne?
 
Dawa ni kukamata wanasiasa wachochezi ili hawa wanaobweka mitaani watulie.

Hivi vikundi vya wafanya fujo na wachoma nyumba za watu visivumiliwe hata kidogo. Iwapo hawa wataachwa kesho yatalipuka mengine sehemu nyingine.
 
Habari wakuu kuna habari zimezagaa hapa dodoma kuhusiana na sakata la gesi na chama cuf, baadhi ya watu wa karibu na msajili wa vyama vya siasa wanadai '' barua ya mapendekezo ya kukifuta chama cha cuf kwa kuwa kinachochea mgogoro na uvunjifu wa amani maeneo ya lindi na mtwara imetua kwa JOHN TENDWA kwa hatua zaidi'' na hii inathibitisha ndio maana raisi JK kasema hawataogopa hata kama anamapembe maana yake ni ''cuf wako kwenye ndoa na serikali ndio maana ya mapembe'' nawasilisha pale nikapoendelea kupata habari kutoka mnyetishaji

Wanakimbia kivuli chao; kama wanao uthubutu wa maamuzi magumu nchi isingefika hapa ilipo; Wambie wafute vyama vyote sio CUF pekee!
 
Kwa kafu sidhahi ila ingekuwa chadema wangefikiria hivo ila wasingeweza pia!

Kufuta CHADEMA hawezi wanajua ghasia itakayozuka ni kubwa sana kuanzia mashambani, maofisini, vyuoni, mijini, jeshini etc na isitoshe kama kafujo kadogo tu ka Mtwara wametumia TPDF kutokana na ugoigoi wa Polisi wetu basi ujue ghasia kubwa ya nchi nzima(Mungu aepushie mbali) askari wetu kwa umoja wao hawataweza kuituliza. Chamsingi viongozi wawe na maono ya kiuongozi kuliepusha taifa letu na ghasia kabla hazijatokea waache kauli za kibabe.
 
Back
Top Bottom